CCM kugawanyika kabla ya Uchaguzi Mkuu 2025

Dr.kasheku ni mjanja hawezi kamatika kwenye hako kamtego....

ila huyo mwingine,
kisesa kwenyewe haeleweki, hasira za kutemwa baraza la mawaziri zinampoteza kwenye game kabisa, na at the end atajikuta kama vile hajawahi kua mbunge kabisa, kama mamliki wengine wakivyo hivi sasa mathalani wa huko tarime arusha iringa au mbeya...... :pedroP:

tunaposema siasa ni sayansi hiyo ndio maana yake:whatBlink:
Kasheku kashaingia Sema anaPush Hoja kwa chini chini..
Miongoni mwa hao Watu wapo Mawaziri na wengine sema aliyetusaliti Ni mmoja tu alikuw Kiungo Muhimu sana Makonda..

Sasa Ametusalitu halafu anataka Kutoa siri za Kambi...

Nakuhakikishia Kabla ya Uchaguzi wa Mtaa utagundua Mengi sana..

Hata wanaopush Ajenda ya Muungano sio Upinzani..
Upinzani ni Chombo tu cha Kutoa Sauti ila Mic haipo CHADEMA wala ACT
 
Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.

Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"

Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?

Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.

Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.

Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.

Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.

Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.

Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.

Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza wala na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.

Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!
Ni uchambuzi mzuri sana tena una akisi mambo mengi ndani ya chama chetu cha mapinduzi. Kosa ambalo Dkt Samia (wakati mwingine nj vigumu pia kumlaumu kwa sababu ya mazingira) ni kuonesha waziwazi kumtwezwa Dkt Magufuli utu wake kwa kauli na kejeli ambazo ni kawaida watu kupigana vijembe ila tu shida ni mazingira ya kifo cha Dkt Magufuli ni kama yale ya vijijini watu kutishiana kuuana na mwisho wa siku mtu anakufa na jamii inaamini aliyemuua ni yule anayesherehekea kifo cha mhusika. Dkt Samia alikosa strategic thinkers kwa upande wa siasa namna ambavyo alitakiwa aenende na kuishi na makunfi yote bila kuyakwaza. Matokeo yake alijitahidi kulifurahisha kundi moja lile la 2025 na kulisagia kunguni kundi la Dkt Magufuli na kibaya kauli zenye dhihaka dhidi ya Dkt Magufuli ni nyingi sana zilizowahi kutolewa na serikali yake. Kilio cha Makonda kwenye kaburi la Dkt Magufuli kiligusa sana watanzania kwa kuona aha kumbe CCM inamkubali Dkt Magufuli. Pamoja na yote, Dkt Magufuli alizidiwa na makundi ya uharifu ndani ya uongozi wake. Yaani mfano suala la BOT na Bureau de change, watu wake waliona fursa ya kuonea hata wale innocent na matukio mengine.
 
Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.

Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"

Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?

Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.

Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.

Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.

Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.

Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.

Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.

Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza wala na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.

Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!
Ngoja tusubiri yetu MAJICHO
 
CDM kama ni wajanja.. watumie mwanya huu mapema wasimtweze sana Magufuli ili wamtumie kupata kura siasa ni sayansi na kwenye siasa hakuna adui wa kidumu. Wakubali kuishi na shetani kimkakati wavune kura na kupata watakacho. suala la Katiba,Muungano na uzanzibar,Raslimali zetu yote ni kaa la moto kwenye uchaguzi huu na ni kete au agenda muhimu kwa CDM watanganyika kwa sasa wanaanza kuelewa
 
Yote 100, lakini moja kubwa ni kwamba ccm itaendelea kushika Dola! Huo ndio ukweli, watu mtafanya uchambuzi na kuleta utabiri wa kila aina ila ccm, itaendelea kushika madaraka!
 
Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.

Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"

Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?

Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.

Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.

Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.

Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.

Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.

Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.

Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza wala na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.

Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!
Umeona mbali sana !
Ukweli ni kwamba na mimi pia ni katika wale ambao hatukubaliki kutokana na misimamo yetu ya kukataa Chama kuwa kama kokoro !

Hivyo tumeamua kujibanza kwa mhe Samia !

Ngoja tusubiri tuone ! 🙏🙏🙏
 
Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.

Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"

Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?

Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.

Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.

Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.

Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.

Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.

Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.

Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza wala na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.

Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!
CCM tayari imegawanyika. Ni suala la wakati tu ili kila kundi lipate kiongozi wake.
 
Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.

Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"

Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?

Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.

Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.

Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.

Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.

Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.

Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.

Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza wala na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.

Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!
Hawa ni manyangau, watakaa na kuulizana: sasa tunakosana ili chadema ichukue nchi tutakula wapi? Then watakuja na solution ya kugawiana vyeo na hivyo kuwa kitu kimoja.......go deep in thinking.....
 
Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.

Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"

Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?

Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.

Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.

Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.

Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.

Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.

Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.

Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza wala na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.

Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!
CCM imekuwa kama gunia la viazi toka Njombe. Ngunia limebeba vikubwa, vibovu, vidogo, visivyokomaa na vinavyotaka kuota
 
CCM ilishagawanyika kiitikadi,

Kifo cha Magufuli was catalysist ya CCM kuwahi kufa, bila Jeshi kuingilia Wakina Bashiru na Polepole ni zaidi ya Putin kwenye Ujamaa Kikwete angenyongwa na Washirika wake.

Pia hii chance bado ipo, Wajamaa bado wananguvu na wakiingia Madarakani tena lazima kinga ya Rais itolewe
 
Hawa ni manyangau, watakaa na kuulizana: sasa tunakosana ili chadema ichukue nchi tutakula wapi? Then watakuja solution ya kugawiana vyeo na hivyo kuwa kitu kimoja.......go deep in thinking.....
Imeshatokea kwingineko na inaweza ikatokea kwao pia !
Hawana uwezo wa kuwagawia vyeo watu wao wote !
 
Imeshatokea kwingineko na inaweza ikatokea kwao pia !
Hawana uwezo wa kuwagawia vyeo watu wao wote !
Tatizo kubwa Wana CCM wanaishi kimazoea sana. Wanajiaminisha kuwa Kila wakati watasuluhishana ili wagawane madaraka.

Kumbe wakati huu hawana msuluhishi kati yao.

Kama balozi Karume tu aliwapelekesha kule Zanzibar, jee hawa wa Tanganyika watawaweza??
 
Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.

Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"

Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?

Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.

Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.

Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.

Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.

Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.

Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.

Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza wala na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.

Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!
Mimi naombea isiishie kwenye kugawanyika tu! Badala yake ingekufa kabisa.
Haiwezekani kikundi cha watu wachache waishi kama vile wako peponi, halafu kundi linalobakia la watu wengi waishi kama vile wako jehanamu.
 
Kwa Sasa CCM siyo tena chama cha Siasa bali ni kundi kubwa la watu linalotumia Siasa kujitajirisha.

Wakati wa enzi za Ali Hassan Mwinyi akiwa Mwenyekiti (1993-1994) wa chama hicho, mojawapo wa waasisi wa chama hicho, Mwalimu Julius Nyerere alisema " CCM imegeuka kuwa kama kokoro, inabeba kila kitu"

Leo miaka 30 baadae CCM itakuwa imebeba mauchafu mangapi? Kama wakati ule Mwalimu aliona kuwa imegeuka kokoro, leo hii CCM ikoje?

Kabla ya uchaguzi 2025 CCM itagawanyika kutokana na makundi maslahi yaliyo ndani ya chama hicho.

Kundi la kwanza ni lile ambalo lilikuwa linaamini kuwa Magufuli atatawala milele. Kundi hili lilikuwa halijajitayarisha kuishi nje ya mfumo wa Magufuli.

Kundi la pili ni lile lililokuwa linaamini kuwa ikifika mwaka 2025 Magufuli atatoka madarakani na wao kuweka mtu wao.

Kundi hili la pili halikuwahi kuwaza kuwa Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2025.

Kundi la tatu ni la wafuasi wa Samia Suluhu Hassan. Hawa ni wafuasi walioibukia kutoka kusiko julikana.

Kabla ya Samia kuwa Rais, kundi hili la watu walikuwa hawajawahi kuamini kuwa Samia anafaa kuwa Rais.

Lakini Samia alipoupata urais kundi hili likagundua kuwa halikubaliki na kundi la kwanza wala na la pili, hivyo likajibanza kwa Samia.

Kwa kuwa ndani ya CCM hivi Sasa hakuna mtu anayeheshimika na makundi yote hayo matatu, bila ya shaka mgawanyiko ndani ya chama hicho ni Lazima kutokea!!
Wasigawanyike tu ila wagawame,fito,nyasi,mbao,bati na hata nyasi ili kila mmoja afe na chakeee🤪
 
Back
Top Bottom