Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Ni kitu kisichopingika, kwani historia inaeleza bila kuficha: Kwamba ufisadi katika uongozi wa juu katika nchi huleta kulindana kwa hali ya juu na hivo kwa serikali husika kun'gang'ania madarakani kwa hofu ya kushughulikiwa na chama kipya.
Na kung'ang'ania madarakani maana yake chama tawala wako tayari kufanya kila hujuma kutimiza hilo. Tanzania ni nchi mojawapo ambayo kwa bahati mbaya inaelekea njia hiyo. Wimbo wa CCM kwamba inadumiosha amani ni hadaa kubwa -- kwani inachokifanya ni kuzidisha tu mazingira ya kuwepo vita.
Siombei vita, lakini CCM ndichoi inachokifanya -- inaipeleka nchi hii kama vile kipofu.
Na kung'ang'ania madarakani maana yake chama tawala wako tayari kufanya kila hujuma kutimiza hilo. Tanzania ni nchi mojawapo ambayo kwa bahati mbaya inaelekea njia hiyo. Wimbo wa CCM kwamba inadumiosha amani ni hadaa kubwa -- kwani inachokifanya ni kuzidisha tu mazingira ya kuwepo vita.
Siombei vita, lakini CCM ndichoi inachokifanya -- inaipeleka nchi hii kama vile kipofu.