N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 561
Ccm ni taasisi, hakuna siku itakufa labda siku vyama vya siasa vikifutwa na nchi kutawaliwa kijeshi na mwana ccm. Ngo na vyama vya kufa na kuzikana kama chadema ndivyo vitakufa
Mwigulu acha kujidanganya, CCM hana hati miliki ya hii nchi, note me "IT JUST A MATTER OF TIME" kama unabisha waulize KANU na UNIP cha Kaunda