Ccm ni taasisi, hakuna siku itakufa labda siku vyama vya siasa vikifutwa na nchi kutawaliwa kijeshi na mwana ccm. Ngo na vyama vya kufa na kuzikana kama chadema ndivyo vitakufa
Pole sana kamanda kwa mawazo mgando na ndoto za kusadikika.Nasema hakuna chama kinachoweza kuishinda CCM iwe mwaka 2015 au 2025 au 2035 na kuendelea.Badilisha mawazo yako ili mwaka 2015 CDM itakapopoteza majimbo yake mengi iliyonayo sasa na kuwa kama NCCR usife kwa presha. CCM Jana-CCM Leo -CCM Kesho.
Ccm ni taasisi, hakuna siku itakufa labda siku vyama vya siasa vikifutwa na nchi kutawaliwa kijeshi na mwana ccm. Ngo na vyama vya kufa na kuzikana kama chadema ndivyo vitakufa
CCM siyo taasisi ni Syndicate!! Kawatafute UNIP na KANu walikopotelea. Siku mkiondoka hakuna kurudi bro!!
Ccm ni taasisi, hakuna siku itakufa labda siku vyama vya siasa vikifutwa na nchi kutawaliwa kijeshi na mwana ccm. Ngo na vyama vya kufa na kuzikana kama chadema ndivyo vitakufa
Hakika wewe ni mbumbumbu, hujui usemalo. Nakujibu hivi: Iwapo UNIP ya Kaunda (Zambia), KANU ya Kenyatta/Moi (Kenya), UPC ya Obote (Uganda), kile cha Nkrumah (Ghana), UPRONA cha Rwagasore/Micombero (Burundi) na kile cha Habyarimana(Rwanda) vilirudi kutawala, basi na CCM nayo inaweza ikarudi kutawala. Ni kitu kisichowezekana kutokana na siasa za Kiafrika. Vyama vinapoondoka madarakani huwa vinatokomea nyikani.
View attachment 79031hawa ndio wataipeleka CCM kaburini
Mwaka 2015 ni mwaka wa CHADEMA kuongoza Nchi hii, Nasema hivo baada ya kufanya tafiti za maeneao mbalimbali hapa Nchini na kugundua wengi wanaunga mkono jitihada za CHADEMA!
CHADEMA ni wembe wa kunyolea tena aina ya wembe unyoleao karatasi Ambao hupatikana viwandani tu na ambao huwa na Makari zaidi ya vipindi vi 4 baada ya kunyoa.
CHADEMA tuna jembe letu Dr SLAA.
CCM MTAMPA NANI? kwani wote wamechafuka na Richmond, Epa, Kagoda,Mapesa ya Uswis, Kutaka kuchakachua Gasi na kuileta Dar es salaam na Bagamoyo. Kwa nini Mnataka kupeleka Gasi Bagamoyo kwa Kikwete? je hao wananchi walopewa neema hiyo baada ya CCM kuaacha bila Barabara, Umeme, Maji na Afya hawafai? Hadi mtake Gasi iende Bagamoyo kwa Kikwete?
CCM mwisho wake ni 2015
Angalia wamepandisha Mafuta ya Taa ili wananchi washindwe kupika vyakula!!!!
Ndio maana nasema mwisho wa Kutawara kwa CCM ni 2015
View attachment 79031hawa ndio wataipeleka CCM kaburini
Mwigulu CCM ingekuwa imara usingehangaika na presha ya kuindama Chadema kila siku hulali unaiwaza Chadema tu.
Subiri zahama inaanzia kwako Iramba magharibi japokuwa unagenge la wahuni hilo genge litakugeuka siku moja na wote itakuwa ni people's.Ccm ni taasisi, hakuna siku itakufa labda siku vyama vya siasa vikifutwa na nchi kutawaliwa kijeshi na mwana ccm. Ngo na vyama vya kufa na kuzikana kama chadema ndivyo vitakufa
Haya, kachukue posho yako
CCM ni ya watoto wa Makamba Kikwete Mwinyi Msuya ndio wenye vyeo sisi tunapigika tuuSi muda mrefu CCM itapotea WHAT IS CCM KWA VIJANA WA LEO? waliopinda na kupigika kwa sababu ya CCM
Mkuu ccm lazima ifutike kwenye historia ya nchi hii hata majengo yake tutauzaUmewaweza hao magambas kwa mifano hai kabisa. mimi nawachallenji wataje hata chama kimoja hapa barani Afrika kilichoondolewa madarakani na baadaye kikarudi kushika dola -- kwa njia ya kura. Qakitaje ni chama gani. Vyama vya wezi huwa havirudi.