CCM kitakufa mwaka 2015 na hakitarudi tena

CCM kitakufa mwaka 2015 na hakitarudi tena

Ndugu wana jamvi leo nalazimika kutoa rai kwa rais wangu mh. Dk. J Kikwete atuepushe na vita au fujo za kudumu pindi chama chake cha mapinduzi kitakapo ondolewa madarakani kwa ridhaa ya watanzania 2015. Natumia busara sana kumuomba jk kwani sina shaka na upande wa dk. W Slaa hasa ukizingatia kuwa amekuwa mpenda amani siku zote na alishawahi kutamka kuwa "sitaki kuingia ikulu huku damu ya watanzania ikiwa imemwagika". Katika hili nina imani kabisa na mh. Kikwete kwamba nae hatataka kuona anakuwa chanzo cha kuwagawa watz na kuzua machafuko. Nakumbuka kauli yake ya kuanza upya si ujinga wakati wa mnyukano wa urais 2005, ningependa kauli yake hii iwaongoze wana CCM wote ili wakijenge chama chetu (CCM) upya. Najua wapambe wa jk hawatataka kukubaliana na hali halisi itakayojitokeza bali kwa Kikwete kukubali japo hatakuwa mgombea nahisi itatuondolea vita kati yetu wenyewe hasa ikizingatiwa kuwa atakuwa bado ni mwenyekiti wa ccm
Si lazima uchangie bali unaweza kutuma salaam hizi kwa mh rais kwa namna utayoona inafaa.

CHONDE CHONDE KUANZA UPYA SI UJINGA.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Ndugu wana jamvi leo nalazimika kutoa rai kwa rais wangu mh. Dk. J Kikwete atuepushe na vita au fujo za kudumu pindi chama chake cha mapinduzi kitakapo ondolewa madarakani kwa ridhaa ya watanzania 2015. Natumia busara sana kumuomba jk kwani sina shaka na upande wa dk. W Slaa hasa ukizingatia kuwa amekuwa mpenda amani siku zote na alishawahi kutamka kuwa "sitaki kuingia ikulu huku damu ya watanzania ikiwa imemwagika". Katika hili nina imani kabisa na mh. Kikwete kwamba nae hatataka kuona anakuwa chanzo cha kuwagawa watz na kuzua machafuko. Nakumbuka kauli yake ya kuanza upya si ujinga wakati wa mnyukano wa urais 2005, ningependa kauli yake hii iwaongoze wana CCM wote ili wakijenge chama chetu (CCM) upya. Najua wapambe wa jk hawatataka kukubaliana na hali halisi itakayojitokeza bali kwa Kikwete kukubali japo hatakuwa mgombea nahisi itatuondolea vita kati yetu wenyewe hasa ikizingatiwa kuwa atakuwa bado ni mwenyekiti wa ccm
Si lazima uchangie bali unaweza kutuma salaam hizi kwa mh rais kwa namna utayoona inafaa.

CHONDE CHONDE KUANZA UPYA SI UJINGA.
Asante mkuu kwa busara na hekima ya kuona mbele, nahisi ujumbe wako ameshaupata
 
  • Thanks
Reactions: kui
Ndugu wana jamvi leo nalazimika kutoa rai kwa rais wangu mh. Dk. J Kikwete atuepushe na vita au fujo za kudumu pindi chama chake cha mapinduzi kitakapo ondolewa madarakani kwa ridhaa ya watanzania 2015. Natumia busara sana kumuomba jk kwani sina shaka na upande wa dk. W Slaa hasa ukizingatia kuwa amekuwa mpenda amani siku zote na alishawahi kutamka kuwa "sitaki kuingia ikulu huku damu ya watanzania ikiwa imemwagika". Katika hili nina imani kabisa na mh. Kikwete kwamba nae hatataka kuona anakuwa chanzo cha kuwagawa watz na kuzua machafuko. Nakumbuka kauli yake ya kuanza upya si ujinga wakati wa mnyukano wa urais 2005, ningependa kauli yake hii iwaongoze wana CCM wote ili wakijenge chama chetu (CCM) upya. Najua wapambe wa jk hawatataka kukubaliana na hali halisi itakayojitokeza bali kwa Kikwete kukubali japo hatakuwa mgombea nahisi itatuondolea vita kati yetu wenyewe hasa ikizingatiwa kuwa atakuwa bado ni mwenyekiti wa ccm
Si lazima uchangie bali unaweza kutuma salaam hizi kwa mh rais kwa namna utayoona inafaa.

CHONDE CHONDE KUANZA UPYA SI UJINGA.

Hapo kwenye RED ndio uliponishangaza, hivi aliyeleta migawanyiko ya Kidini na ukanda ni nani? si kuna hata pesa zimetengwa kwasababu hiyo? Kwa ufupi siamani kama Kikwete hapendi migawanyiko, anaipenda na ukweli ndio iliyomuweka madarakani na alidhani kama ingedumu kumbe ndio hivyo tena, Wahenga walisema, "Panga haliijui shingo la aliyelitengeza"
 
Kikwete aache kula bata ulaya aanze kuumiza kichwa chake kwa ajili ya amani? Acha tuitafute wenyewe hiyo amani.
 
Ukimuuliza atakuambia huo ni upepo utapita. Hana mashaka na hilo wala hajisikii vibaya polisi wake wanavyo mwaga damu za watu.
 
Napingana na wewe moja kwa moja. Amani ya nchi hii haiko kwa jk. Iko mikononi mwa wananchi. Kama wananchi wanegundua unyanyasaji unaofanywa na watawala budi wajihami. Jk hanalolote hapo.

ndugu wana jamvi leo nalazimika kutoa rai kwa rais wangu mh. Dk. J kikwete atuepushe na vita au fujo za kudumu pindi chama chake cha mapinduzi kitakapo ondolewa madarakani kwa ridhaa ya watanzania 2015. Natumia busara sana kumuomba jk kwani sina shaka na upande wa dk. W slaa hasa ukizingatia kuwa amekuwa mpenda amani siku zote na alishawahi kutamka kuwa "sitaki kuingia ikulu huku damu ya watanzania ikiwa imemwagika". Katika hili nina imani kabisa na mh. Kikwete kwamba nae hatataka kuona anakuwa chanzo cha kuwagawa watz na kuzua machafuko. Nakumbuka kauli yake ya kuanza upya si ujinga wakati wa mnyukano wa urais 2005, ningependa kauli yake hii iwaongoze wana ccm wote ili wakijenge chama chetu (ccm) upya. Najua wapambe wa jk hawatataka kukubaliana na hali halisi itakayojitokeza bali kwa kikwete kukubali japo hatakuwa mgombea nahisi itatuondolea vita kati yetu wenyewe hasa ikizingatiwa kuwa atakuwa bado ni mwenyekiti wa ccm
si lazima uchangie bali unaweza kutuma salaam hizi kwa mh rais kwa namna utayoona inafaa.

Chonde chonde kuanza upya si ujinga.
 
Hakuna kitu ulichoandika hapa.Tangu lini amani ya nchi ikawa mikononi mwa rais?Wananchi ndo wenye maamuzi kama wanataka nchi yao iwe na amani au la.Yaliyotokea Tunisia, misri, na sasa siria ni mwalimu tosha.Acha kujikomba.Kama huna ajira nenda kalime.
Ndugu wana jamvi leo nalazimika kutoa rai kwa rais wangu mh. Dk. J Kikwete atuepushe na vita au fujo za kudumu pindi chama chake cha mapinduzi kitakapo ondolewa madarakani kwa ridhaa ya watanzania 2015. Natumia busara sana kumuomba jk kwani sina shaka na upande wa dk. W Slaa hasa ukizingatia kuwa amekuwa mpenda amani siku zote na alishawahi kutamka kuwa "sitaki kuingia ikulu huku damu ya watanzania ikiwa imemwagika". Katika hili nina imani kabisa na mh. Kikwete kwamba nae hatataka kuona anakuwa chanzo cha kuwagawa watz na kuzua machafuko. Nakumbuka kauli yake ya kuanza upya si ujinga wakati wa mnyukano wa urais 2005, ningependa kauli yake hii iwaongoze wana CCM wote ili wakijenge chama chetu (CCM) upya. Najua wapambe wa jk hawatataka kukubaliana na hali halisi itakayojitokeza bali kwa Kikwete kukubali japo hatakuwa mgombea nahisi itatuondolea vita kati yetu wenyewe hasa ikizingatiwa kuwa atakuwa bado ni mwenyekiti wa ccm
Si lazima uchangie bali unaweza kutuma salaam hizi kwa mh rais kwa namna utayoona inafaa.

CHONDE CHONDE KUANZA UPYA SI UJINGA.
 
Hakuna kitu ulichoandika hapa.Tangu lini amani ya nchi ikawa mikononi mwa rais?Wananchi ndo wenye maamuzi kama wanataka nchi yao iwe na amani au la.Yaliyotokea Tunisia, misri, na sasa siria ni mwalimu tosha.Acha kujikomba.Kama huna ajira nenda kalime.
Mbinguni vipi Mkuu... Kama marais wa nchi hizo wangekubaliana na maoni ya wananchi, vita isingewafika. Huoni kama amani ya nchi iko mikononi mwa watawala hawa?
 
Ndugu wana jamvi leo nalazimika kutoa rai kwa rais wangu mh. Dk. J Kikwete atuepushe na vita au fujo za kudumu pindi chama chake cha mapinduzi kitakapo ondolewa madarakani kwa ridhaa ya watanzania 2015. Natumia busara sana kumuomba jk kwani sina shaka na upande wa dk. W Slaa hasa ukizingatia kuwa amekuwa mpenda amani siku zote na alishawahi kutamka kuwa "sitaki kuingia ikulu huku damu ya watanzania ikiwa imemwagika". Katika hili nina imani kabisa na mh. Kikwete kwamba nae hatataka kuona anakuwa chanzo cha kuwagawa watz na kuzua machafuko. Nakumbuka kauli yake ya kuanza upya si ujinga wakati wa mnyukano wa urais 2005, ningependa kauli yake hii iwaongoze wana CCM wote ili wakijenge chama chetu (CCM) upya. Najua wapambe wa jk hawatataka kukubaliana na hali halisi itakayojitokeza bali kwa Kikwete kukubali japo hatakuwa mgombea nahisi itatuondolea vita kati yetu wenyewe hasa ikizingatiwa kuwa atakuwa bado ni mwenyekiti wa ccm
Si lazima uchangie bali unaweza kutuma salaam hizi kwa mh rais kwa namna utayoona inafaa.

CHONDE CHONDE KUANZA UPYA SI UJINGA.
napingana na wewe kwa vitu viwili, kwanza amani ipo mikononi mwako na si kwa rais. pili, ni ndoto za mchana kufikiria slaa ana amani ya yeyote yule. waulize wale machalii pale arusha walioona wenzao wanakufa na wao wakipata majeraha kwa kumshabikia slaa. familia za wafiwa zinataabika sasa. tia akili kichwani mwako. acha kukariri.
 
wazo lako zuri labda ungelichapisha kwenye vijarida vinavyopatikana kwenye ndege, mbalimbali ili ujumbe umfikie haraka, vingenevyo mawazo yako yatasomwa baada ya 2015
 
napingana na wewe kwa vitu viwili, kwanza amani ipo mikononi mwako na si kwa rais. pili, ni ndoto za mchana kufikiria slaa ana amani ya yeyote yule. waulize wale machalii pale arusha walioona wenzao wanakufa na wao wakipata majeraha kwa kumshabikia slaa. familia za wafiwa zinataabika sasa. tia akili kichwani mwako. acha mkukariri.
Yaelekea uelewa wako ni vinyu kwa taarifa yako mauaji ya Arusha yalifanywa na dola kwa kutii amri za kipuuzi.
 
Hakika wewe ni mbumbumbu, hujui usemalo. Nakujibu hivi: Iwapo UNIP ya Kaunda (Zambia), KANU ya Kenyatta/Moi (Kenya), UPC ya Obote (Uganda), kile cha Nkrumah (Ghana), UPRONA cha Rwagasore/Micombero (Burundi) na kile cha Habyarimana(Rwanda) vilirudi kutawala, basi na CCM nayo inaweza ikarudi kutawala. Ni kitu kisichowezekana kutokana na siasa za Kiafrika. Vyama vinapoondoka madarakani huwa vinatokomea nyikani.
Mwigulu tazama Mtwara wananchi walivyo choka na CCM.2015 ndio mwisho
 
Yameanza kutimia niliyo kuwa natabili kuwa mwisho wa CCM ni mwaka 2015! Amini usiamin wewe mwana ccm kuwa chama hiki ambacho imekosa mema mwaka wa kuongoza wananchi wenye busara ni 2015. Angalieni Mtwara, Morogoro mwanza na maeneo mengine yalivyo Hii ina ashria kwamba ccm hawana chao ndio maana wanalazimisha wananchi, kuwapiga na Risasi za moto raia wanao dai haki zao. Duniani hakuna risasi ilishawahi kushindana na nguvy ya Umma ikashinda wala giza na kushinda nuru, CCM mjiandae kuwa Wapinzani tena wapinzani dhaifu. Mwaka wa 2015 mtaondoka hata mfanye nini! Wananchi hatutachoka kudai haki zetu mlo zikandamiza kwa miaka 51, Mwisho nasema Siraha na Mabomu ni kuwakomaza wananchi na ndio chachu ya wananchi kutoogopa tena siraha, CCM acheni ubabe na muwe waastaarabu kwa watu wanaodai haki zao, Matukio mengi mno yaliotendeka ndani ya serikari hii , sasa Mjirekebishe.
 
Ccm ni kama mgonjwa aliyeko ICU ambye anapata critical organ failure moja baada ya nyingine. Matokeo yake ni dhahiri.

Sent from my GT-I9100 using Tapatalk 2
 
wana ccm wengi wa leo wanavumilia kuwa wana ccm.
nenda ccm, tuliwahi kukupenda, lakini huwezi zuia mabadiliko ni lazima yatokee
 
Back
Top Bottom