Kitendo cha "mzee wa vijisent"kuchukua fomu ya uspika ili kulinda maslahi ya mafisadi bungeni,ni mtego mwingine kwa serkali ya kikwete na wabunge wake baada ya ule wa kikwete kupita majimbon akiwanadi,wakimpitisha tu upinzani utapata agenda ya kuanzia ambayo hata wafadhili watawaunga mkono,wadau mnaonaje?