Ujumbe wa maana sana huu!
Ally Bananga mfuasi mwingine wa EL sina imani na na wewe kabisa CCM we na Millya mlikuwa mnatumikia EL na mtoto wake ""Cadet" Fred Lowassa anyway karibu CDM but tutakaa na nyie kwa tahadhari kubwa
Makosa aliyoyafanya EL akajiuzulu na fedha iliyoibiwa ni ndogo sana ukilinganisha na hizi walizopiga akina Pinda, Ngeleja na Maige baada ya EL kutoka. Pia tujiulize kwa nini JK hakusema ni UPEPO tu wakati wa Richmond ili Lowassa asijiuzulu lakini sasa anaona ni upepo tu? Hapo kuna siri kubwa! Karibu sana Ally Bananga upande huu wa pili, katika siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu, tusaidiane kumuangamiza adui wa maendeleo ya nchi hii ambaye ni CCMAlly Bananga mfuasi mwingine wa EL sina imani na na wewe kabisa CCM we na Millya mlikuwa mnatumikia EL na mtoto wake ""Cadet" Fred Lowassa anyway karibu CDM but tutakaa na nyie kwa tahadhari kubwa
It is true haiko mbali ila kuna mtu kashikilia mshale wa saa.Saa ya ukombozi haiko mbali.