Shalom
JF-Expert Member
- Jun 17, 2007
- 1,315
- 124
Shalom,
Mbona wawekezaji hawaji? Tumeambiwa huji tena kwasababu mama kakunyima nauli. Eti ukipewa pesa unaoa Kyela mpaka ziishe.
Mtoto wa watu uliyemwacha na mimba huku kajifungua, njoo utoe pesa za matunzo. Huyo msichana alikuwa na mchumba wake, ukamdanganya kwamba utampeleka USA, wewe mkulu kwa usanii umenishinda.
Niko na kakako Malafyale hapa. Ni mzee wa heshima, sio kama wewe msanii na kibaka wa wake za watu. Wewe inabidi uwe unashinda na Kinanasi tu maana mambo yenu yanafanana.
Haya maneno ya kwako au umetumwa na mwakalinga? huyu mtoto wa pateli sijui anataka mimi niishi vipi. nikifadhiliwa na mzungu kuna tatizo gani. Mboni mimi sikusemi kwa kuoa mke chata si maamuzi yako na mitoto mnayotoa