Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,075
Nimetoka mahala huwa napata mtori majira ya asubuhi
nikakuta kada mmojawa ccm; tena kijana basi.
saizi yenu hiyohiyo ya vijana wa chadema.
Inaelekea kuna mtego umewekwa.
CCM wanasuburi apatikane mtu muhimu wa chadema kasema uongo mkubwa
halafu nao wataibuka na kauli mbiu mpya:
CCM....kamata muongo meeen!
My take: Nyie vijana wa chadema wakati mkifurahia miteremko yenu ya kufungua matawi
kumbukeni kuwa makini katika kauli zenu. Siasa si miteremko tu. kuna milima pia.
Na kwa bahati mbaya hamjaishi long enough kujua hilo.
Ila hii ya kamata mwizi imetulia?!!!!!!!!!!
nikakuta kada mmojawa ccm; tena kijana basi.
saizi yenu hiyohiyo ya vijana wa chadema.
Inaelekea kuna mtego umewekwa.
CCM wanasuburi apatikane mtu muhimu wa chadema kasema uongo mkubwa
halafu nao wataibuka na kauli mbiu mpya:
CCM....kamata muongo meeen!
My take: Nyie vijana wa chadema wakati mkifurahia miteremko yenu ya kufungua matawi
kumbukeni kuwa makini katika kauli zenu. Siasa si miteremko tu. kuna milima pia.
Na kwa bahati mbaya hamjaishi long enough kujua hilo.
Ila hii ya kamata mwizi imetulia?!!!!!!!!!!