Van pierre
Member
- Mar 27, 2011
- 25
- 0
Meeen nimejitahidi sana kukipenda hiki chama cha CCM,but nimechemsha!!jamani madudu yote yanayoendelea nchini yanatokanana udhaifu wa hiki chama!!ni juzi tu nikiwa sinza mida ya usiku nilitumia ka energy kangu kalikobaki mwilini kubishana na mtu kama 5 hivi ambao wapo very against na CCM,me nilikuwa naitetea CCM!!Ilipofika mida mibovu nikarudi kwangu mitaa ya Ubungo,nikiwa nimesweat sana kwa kijoto cha ndani ya daladala kutokana na ile foleni ya ubungo ambayo ccm wameshindwa kuisolve,nafika mtaani nakuta hamna umeme!!!nikajikuta naropoka mwenyewe DAMN F..... CCM!!!Ama kweli CCM ni kama arsenal,hata uwapende vipi one day utawatukana tu!! Hawa jamaa hawapendeki and hawajui hata njia moja ya kuwapendeza wapenzi wao!!!!CCM equal to ARSENAL!!!WENGER equal to KIKWETE!!!THEY HAVE BOTH FAILED