CCM iwe makini na mabadiliko ya Tabia nchi, tishio la ukame na njaa siyo la kulipuuza kisiasa na kiuchumi

Lini ccm iliwahi kuwajari wananchi?
 
Pia msisahau upungufu mkubwa wa maji kwa ajili ya watu na mifugo, nimeona gesi kupanda kimya kimya.....mwezi uliopita nilinunua elf 43, mwezi huu nimelipa elf 50, haya endeleeni kudemka na tozo hadi nchi ibaki na mti mmoja...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…