johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,984
- 142,002
Waziri wa Mazingira Dr Jafo amesema utabiri wa hali ya hewa unaonyesha maeneo mengi ya nchi yatapata mvua za msimu chini ya 50%
Dr Jafo amesema hii imesababishwa na Jamii kushindwa kulinda Vyanzo vya Maji na uhifadhi wa mazingira
Wananchi wanashauriwa kuchukua tahadhari dhidi ya Mabadiliko ya Tabia nchi
Source ITV Habari
Dr Jafo amesema hii imesababishwa na Jamii kushindwa kulinda Vyanzo vya Maji na uhifadhi wa mazingira
Wananchi wanashauriwa kuchukua tahadhari dhidi ya Mabadiliko ya Tabia nchi
Source ITV Habari