Benjamin10
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 389
- 553
Wakuu habarini za mchana.
Hivi karibuni kuna taarifa zimetolewa na shirika la umeme kua kutakua na upungufu wa umeme.
Hii ni kutokana na ukame wa muda mrefu uliosababisha maji kupungua katika mabwawa yanayozalisha umeme.
Sasa hoja yangu ni kuwa, kwanini tunaendelea kumwaga mapesa mengi kuendelea na mradi wa kutumia maji kuzalisha umeme ingawaje tunajua tabia ya nchi ya sasa imebadilika yaani haieleweki na mvua zimekua ni haba?
Au hilo bwawa lenyewe haliathiriwi na mabadiliko ya tabia ya nchi?
Kwanini tusjikite zaidi kwenye uzalishaji usiotegemea mabadiliko ya kimazingira? Kama gesi,joto ardhi.. upepo..
Naomba kuwasilisha hoja!
Hivi karibuni kuna taarifa zimetolewa na shirika la umeme kua kutakua na upungufu wa umeme.
Hii ni kutokana na ukame wa muda mrefu uliosababisha maji kupungua katika mabwawa yanayozalisha umeme.
Sasa hoja yangu ni kuwa, kwanini tunaendelea kumwaga mapesa mengi kuendelea na mradi wa kutumia maji kuzalisha umeme ingawaje tunajua tabia ya nchi ya sasa imebadilika yaani haieleweki na mvua zimekua ni haba?
Au hilo bwawa lenyewe haliathiriwi na mabadiliko ya tabia ya nchi?
Kwanini tusjikite zaidi kwenye uzalishaji usiotegemea mabadiliko ya kimazingira? Kama gesi,joto ardhi.. upepo..
Naomba kuwasilisha hoja!