CCM ivunjike tu


Nashangaa watu wanaopinga kuwapa nafasi nyingine upinzani. Sioni sababu ya maana wanayotoa zaidi ya kuongea tu ilimradi.

Ila nilichogundua, hawa watu wanaopinga upinzani kuingia madarakani ni wale watu waliozoea au wapo ndani ya system corrupt. Wananeemeka nayo.

Ila wanasahau kuna multiplier effect ya hiko wanachokitetea. Wanasahau kupitia hiyo CCM wanayoitetea kuna wazazi au ndugu zao wapo huko vijijini hawana maji safi ya kunywa, hawana madawa hospitali, hawana uhakika wa masoko ya mazao yao. Yani matatizo chungu nzima kiasi kwamba ananeemeka yeye pekee hapa mjini kwa ufisadi ila lundo la watu nyuma yake hawana uhakika wa kesho.

Mabadiliko katika jamii yeyote ni muhimu ili tupige hatua kubwa ya maendeleo. Kutokuwa na mabadiliko inamaanisha kuwa tunakubali fikra zile zile zilizotufikisha hapa tulipo.

Ndo maana watanzania wengi tunabaki masikini kwasababu hatuna hulka ya kufanya maamuzi magumu kwenye maisha yetu.

Sisi ni waoga na wasahaulifu sana.
 


Mwambie baba yako aje kuwa crusader, fvck you!

 
Ccm kwa lowasa wanalo mwaka huu wakimkimbia mshale wakimchukua mkuki yaani wana boonge la soo waamue kukumbatia moto uwachome au wauzime upepo uueneze kwingine sijui watauzimaje.

CCM wakimpitisha lowassa, upinzani watamgaragaza vibaya sana. Na ndo UKAWA wanachoombea.
 

Mkuu nakupa like nyingi sana nikionaga comments sample ya the boss huwa siku inaharibika kabisa naenda zangu kula limao kupunguza hasira.
 

Mag3, chukia upendavyo, pamoja na ubovu wa CCM bado CCM ni chama bora kuliko Chadema, na Watanzania watakuonyesha hivyo mwezi October.Jifunze tu kukubali ukweli.

Umetaja pesa zinavyopotea kwenye halmashauri lakin umesahau pesa za vyama zinavyopotea ikiwepo Chadema.Kama hzio halmashauri zilivyopata hati ya mashaka fahamu kuwa Chadema katu haijawahi kupata hati safi,ata mara moja, kuna kujaribu zaidi ya huko?

Unazungumzia ufisadi unasahau hao wakombozi wako ndio ambao kiongozi anafanya biashar na chama, conflict of interest plus, kuna kujaribu zaidi ya huku?.

Hao unaowaita wakombozi ndio ambao kiongozi anaweza akakiuzia chama fuso 3 kwa million 540, kuna haja ya kujaribu zaidi ya hili?

Hao wakombozi ndio ambao teuzi zao wanateuana kinyumba na kifamilia, bungeni pale wamejaza wake zao,dada zao,hawala zao,watoto wao, na wakwe zao,wameteua mezani,bila kupiga kura,unahitaji nin zaidi ya hilo?

Unataka hujaribu vip kitu ambacho tayari unakiona ni kibovu?yes utakuwa dead man walking kama unaruka mkojo ili ukanyage mavi.

Kwa ukosefu wa upinzani makini na adilifu, CCM bado haina mbadala.
 
CCM wakimpitisha lowassa, upinzani watamgaragaza vibaya sana. Na ndo UKAWA wanachoombea.

Ina maana wakimpitisha lowasa hata waliopo humo ndani watakihama chama lao na wakimtosa lazima makundi yaendelee kura watazikosa kama mbwai na iwe mbwai.
 
...aisee!
Usishangae ndugu yangu, huyo Barbarosa ni specimen hasa ya watu wapuuzi waliokamata uongozi wa nchi hii toka wa juu kabisa hadi wa chini. Unaweza kukuta mtu mwenyewe ni Waziri au hata Mbunge na bahati yako uko mbali naye; angeweza kukung'oa hata meno kwa bisibisi. Hawa ndio wanakaa na kupanga mauaji na utekaji nyara kama aliyofanyiwa yule daktari masikini. They will go to any length kulinda mali zao za wizi na matendo yao ya kifisadi hata ikibidi kumtoa mtu roho. Je unaweza kuamini wengi unaowaona hapa chini wakimshambulia mwananchi mwenzao ni Wabunge?


Wengi hapo ni Wabunge, watunga sheria, wakivunja sheria bila woga wa kushughulikiwa.
 
... sababu zipo na inaonekana kuvunjika huku safari hii hakuepukiki - iwe kabla ya Uchaguzi au baada ya uchaguzi (itakapopoteza kiti cha Urais)...

..... na tumshukuru sana Mr. Mamvi for this, for being so divisive... inapendeza kusikia anapowambia watu ambao hawamtaki waondoke (abaki yeye na genge lake la watu 870,000 aliowanunua).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…