CCM itapasuka vipande viwili

ntemintale

JF-Expert Member
Sep 6, 2016
952
1,872
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiko mbioni kupasuka vipande vikuu viwili ambavyo ni "CCM asili" na "CCM wahamiaji"

Wale asili watapambana kufa na kupona kubakia kwenye madaraka. Huku wale CCM wahamiaji watambana kufa na kupona kupata madaraka, watapata wafuasi ndani ya CCM yenyewe.

CCM itameguka vipande viwili na hapo ndipo ule utabiri wa Hayati Baba wa Taifa Mwl Nyerere utatimia, i.e. Upinzani ndani ya CCM yenyewe.

CCM haitabaki salama.
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiko mbioni kupasuka vipande vikuu viwili ambavyo ni "CCM asili" na "CCM wahamiaji"

Wale asili watapambana kufa na kupona kubakia kwenye madaraka. Huku wale CCM wahamiaji watambana kufa na kupona kupata madaraka, watapata wafuasi ndani ya CCM yenyewe.

CCM itameguka vipande viwili na hapo ndipo ule utabiri wa Hayati Baba wa Taifa Mwl Nyerere utatimia, i.e. Upinzani ndani ya CCM yenyewe.

CCM haitabaki salama.
Hizi ni ndoto za mchana kweupe,endelea hivyo hivyo
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiko mbioni kupasuka vipande vikuu viwili ambavyo ni "CCM asili" na "CCM wahamiaji"

Wale asili watapambana kufa na kupona kubakia kwenye madaraka. Huku wale CCM wahamiaji watambana kufa na kupona kupata madaraka, watapata wafuasi ndani ya CCM yenyewe.

CCM itameguka vipande viwili na hapo ndipo ule utabiri wa Hayati Baba wa Taifa Mwl Nyerere utatimia, i.e. Upinzani ndani ya CCM yenyewe.

CCM haitabaki salama.

Mbona mnaongea sana. Kisa Mbunge kutumia demokrasia. Mbona hamjitambui. Jengeni chama chenu ndo msingi
 
Mkuu umeniwahi tu, nilitaka kucharanga Uzi huu usiku huu huu.

Ulichosema ni kweli, DAB anaharibu chama cha watu ila binafsi nafurahi sana..

Kitu wanachosahau hao kina DAB ni kwamba upinzani sio chama, chama kinakuja kama njia rasmi tu ya kupinga uonevu, upinzani ni dhamira ya ndani kabisa ya mtu, ni kama tu ulivyouzalendo.

Dhamira hii ikikosa njia rasmi(chama cha siasa) hua inasimama yenyewe kama yenyewe, na ndiyo uasi hutokea hapo.

Taiga letu linaangamia huku tukishuhudia kwa macho yetu, tutakuja kuwajibu nini wanetu?
 
Mkuu umeniwahi tu, nilitaka kucharanga Uzi huu usiku huu huu.

Ulichosema ni kweli, DAB anaharibu chama cha watu ila binafsi nafurahi sana..

Kitu wanachosahau hao kina DAB ni kwamba upinzani sio chama, chama kinakuja kama njia rasmi tu ya kupinga uonevu, upinzani ni dhamira ya ndani kabisa ya mtu, ni kama tu ulivyouzalendo.

Dhamira hii ikikosa njia rasmi(chama cha siasa) hua inasimama yenyewe kama yenyewe, na ndiyo uasi hutokea hapo.

Taiga letu linaangamia huku tukishuhudia kwa macho yetu, tutakuja kuwajibu nini wanetu?
Kweli kabisa. Upinzani ni movement, haitegemei uwepo wa mtu fulani, upinzani.ni kupinga utawala mbovu bila kujali mtu gani yuko chama gani au hana chama.
 
Kama blanketi lilo wafunika Wazimbabwe hatimaye limefunguka na Wazimbabwe wameiona nuru, kadhalika iko siku hili blanketi linalo itwa CCM litatoweka na nchi itarindima kwa shangwe hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.
 
Kama blanketi lilo wafunika Wazimbabwe hatimaye limefunguka na Wazimbabwe wameiona nuru, kadhalika iko siku hili blanketi linalo itwa CCM litatoweka na nchi itarindima kwa shangwe hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.
Najiuliza tu hawa viongozi dizaini ya Bashite, Sizonje, na Mpolempole watajificha wapi.
 
Chama et kina MTU anaogopwa balaa!!
Anaamua vile atakavyo.
Anaagiza kuwafanyia unyama binadamu wenzake na kuwaua?!!
Mungu huwa hashindwi jambo.
 
Back
Top Bottom