CCM inatisha kwa vipaji

Tuanze kuhesabu wenye vipaji waliopo ccm hakika mtaamin maneno yangu ni funika mbaya!
 
Ahhh mambo mengine sio hata ya kusema
Ungenyamaza kimya tuu bila kutoa sifa za ajabu ambazo zitakufanya uonekane kituko
 
CCM hivyo vipaji vyenu ndo vimeizamisha nchi hii wabunge wenu wanasinzia hovyo tu..ndo vipaji vyenyewe hivyo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom