Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 7,170
- 8,622
Yuko wapi Polepole na yule kijana wa Mbeya ambae alipotea baada ya kulipiwa faini na wanaCHADEMA?
Vpi kuhusu Ufisadi unaoendelea sasa hivi hapa nchini?
Vipi kuhusu CCM mtandao kula keki ya taifa mpala kuvimbiwa?
Leo hii mnadhania kusomesha vijana Veta kuwq mama ntilie ndio CCM itakubalika?
Vpi kuhusu Ufisadi unaoendelea sasa hivi hapa nchini?
Vipi kuhusu CCM mtandao kula keki ya taifa mpala kuvimbiwa?
Leo hii mnadhania kusomesha vijana Veta kuwq mama ntilie ndio CCM itakubalika?