peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,828
- 21,461
Chama cha Mapinduzi Taifa au Mkoa ninawaomba mfanye uchunguzi wa kina kama sio utafiti kumwangalia au kumfuatilia Katibu wa CCM Wilaya ya Hai Kilimanjaro., kama kweli hajui kuandika.
Kuna kila Dalili mtu huyo hajui kuandika hivyo ili kuandika siri au taarifa za chama anafanyia kazi hizo mitaani, matokeo yake siri na taarifa za chama zinavuja na kuwafikia wapinzani.
Hii ni aibu na historia !!!
Kuna kila Dalili mtu huyo hajui kuandika hivyo ili kuandika siri au taarifa za chama anafanyia kazi hizo mitaani, matokeo yake siri na taarifa za chama zinavuja na kuwafikia wapinzani.
Hii ni aibu na historia !!!