CCM imeteka vyombo vyote vya Habari na Mawazo ya Watanzania

Mlengo wa Kati

JF-Expert Member
Feb 16, 2011
2,730
492
Nimekua nikufuatilia kwa makini tangu wiki iliyo pita baada ya kile kilicho elezwa nkuwa ni kujivua gamba kwa CCM ssa ni dhahili kila mtanzania ameanza kuimba wimbo wao wa kujivua gamba iwe ni kwa kusifia au kupinga hatua hiyo ya kujivua gamba! Ukiangalia hap JF thread nyingi zinazunguka na CCM! Magazeti mengi na vyombo vya habari Radio,Tv na hata tovuti navyo vinajadili habari ya CCM kujivua gamba! Suala la kujivua gamba kwa CCM limefanya hata Dr Slaa asahua na ile habari yake ya kuipa Serikali siku 21 kule Arusha juu ya Meya alie ingia madarakani kiujanjaujanja! Watalaamu wa Siasa wanasema hata habari ya Dr Slaa kule tabora kuongeza orodha mpya ya Mafisadi nayo ni taharuki ya CCM kujivua gamba! Wengine wanasema orodha mpya ya Dr Slaa ambayo imemhusiha na Dr Magufuli haijapokelewa kwa umakini na Watanzania kwani wingu liliopo ni habari ya kujivua gamba! Nape Nnauye amekua kinara kwa kuogelea juu ya agenda ya kujivua gamba! Leo Katibu wa Uenezi Chadema bila kujijua nae ameingia kwenye hoja hii ya kujivua gamba! Leo gazeti la Mwananchi ukurasi wa mbele imeandikwa kuwa Dr Slaa amempa Kikwete siku 90 ajivue gamba ikumbukwe tayari Dr Slaa anakipolo chake cha siku 21 kule Arusha alicho ipa serikali! pia Dr Slaa amekaririwa akisema kitendo cha kutakuwafukuza Lowasa,Rostam na Chenge ndio anguko la CCM vipande vipande!,lakini amesahau kuwa Lowasa,Rostam na Chenge hakuna chama chochote hapa Tanzania kinacho weza kuwapokea kwa sasa wananuka na wamekosa mvuto wa kisiasa kabisa,kuondoka kwao CCM ni sawa na kutupa mzoga na nzi wasikufuate tena! Hivyo imekua gamba gamba gamba kila kona.......!

My take: Siasa mara nyingi inahitaji uwe focused na mambo unayo yasimamia,lakini kuna utalaam wa kupindisha hoja ya mwenzako kwa kuibua jambo fulani kwa jamii!
Chadema ni mhimu kupima suala hili lasivyo itajipotezea muda wake kwa kurukia agenda wasiyo ijua!
 
wewe subiri kuna kitu kizito kinakuja wewe unadhani hao waliotolewa wamefurahi?hata kama yawezekana ni mpango ulipangwa lakini nakuhakikishia mwezi mmoja haupiti yataanza malumbano upya kabisa kati ya vijana na wazee na pia mafisadi huyo katibu wao wa siasa umeona ameshaanza kuropoka ovyo sasa subiri huko mbele tunakokwenda yatakayotokea sio madogo!!tuwape muda tu!utajionea mwenyewe ngoma ndio bado mbichi kabisaaaaah!
 
Mlengo wa Kati, kuna wengi wa aina yako ambao mko alarmed kwa CDM kuwa overtaken na events za kujivua gamba kwa CCM-kitu ambacho watu wengi wamefurahia.
Kwa upande wa CDM ni kama wamenyang'anywa hoja, zaidi ya ufisadi hawana cha kuwaambia wananchi!
CCM wamecheza mchezo safi kabisa wa kisiasa na kuwafunga goli CDM kwa hoja yao na sasa hakuna hoja tena.Hata CDM ikija na orodha nyingine ya mafisadi haina mshiko wala manufaa kwa vile sasa hivi suala hili linashughulikiwa.
Watu hawali kelele za ufisadi.
Kwa muelekeo wa sasa CDM kitabaki kuwa chama cha kuchambua mapungufu ya CCM huku wao wenyewe kutokuwa na siasa mbadala ya maendeleo na isije ikajidanganya kuwa an alternative party yenye uwezo wa kutawala kwa sasa.
Asalaam Aleikhum!
 
CDM ni chama makini na daima kitakuwa hvyo...kwani alivyoitaja orodha ya 2007 watu wakiwemo ccm si walipinga?? CDM wala haiwezi kukosa cha kufanya kwa sababu kwanza hata ufisadi wenyewe sio kweli ati gamba limevuliwa,inawezekanaje mafisadi wakafanywa wajumbe wapya kwenye kamati kuu mpya ya ccm,kama hiki si kiini macho ni nini?

Serikali lazima iwasikilize CDM na kuendelea kutekeleza ilani ya CDM, mbona ilianzishwa ishu ya kwa babu ili kushift akili za watu wasiweze kuujadili muswada wa katiba mpya na ccm imeshindwa ktk hlo?

Ama mnadhani hatujuhi ya kule Musoma eti diwani wa CDM kakamatwa na siraha ya kivita kama siyo mpango wa ccm?? na eti anaitumia kufanya uhalifu,eti watu wasiiunge mkono CDM, sasa kwanini kama kweli huyo diwani asifikishwe mahakamani kama kweli amekuwa akiifanyia uhalifu?? ama hapa Tanzania kuna watu wako juu ya sheria??

Kwa taharifa tu,ccm watake wasitake hapa wamefika ukingo,walifanya mbio nyingi za sakafuni sasa zimegota ukingo
 
Mlengo wa Kati, kuna wengi wa aina yako ambao mko alarmed kwa CDM kuwa overtaken na events za kujivua gamba kwa CCM-kitu ambacho watu wengi wamefurahia.
Kwa upande wa CDM ni kama wamenyang'anywa hoja, zaidi ya ufisadi hawana cha kuwaambia wananchi!
CCM wamecheza mchezo safi kabisa wa kisiasa na kuwafunga goli CDM kwa hoja yao na sasa hakuna hoja tena.Hata CDM ikija na orodha nyingine ya mafisadi haina mshiko wala manufaa kwa vile sasa hivi suala hili linashughulikiwa.
Watu hawali kelele za ufisadi.
Kwa muelekeo wa sasa CDM kitabaki kuwa chama cha kuchambua mapungufu ya CCM huku wao wenyewe kutokuwa na siasa mbadala ya maendeleo na isije ikajidanganya kuwa an alternative party yenye uwezo wa kutawala kwa sasa.
Asalaam Aleikhum!

CCM haijacheza mchezo safi, badala yake inacheza na shilingi chooni kwa kuwa imeshindwa kuwatema MAFISADI PAPA, ushahidi uliopo unaonyesha kuwa ktk mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) wa tar 10 Aprili 2011 MAFISADI PAPA walichanguliwa kuwa katka Kamati Kuu ya CCM kwa mujibu wa tovuti ya CCM iliyonukuliwa leo tar 18 Aprili 2011.ORODHA YA WAJUMBE 38 WA KAMATI KUU YA CCM KWA MUJIBU WA TOVUTI YA CCM LEO TAR 18 APRILI 2011 NI AHAWA WAFUATAO IKIWEMO MAFISADI PAPA WATATU.
1. Ndugu Kakaya Mrisho Kikwete - Mwenyekiti
2. Ndugu Pius Msekwa - Makamu Mwenyekiti (Bara)

3. Ndugu Amani Abeid Amani Karume - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)

4. Ndugu Wilson Mukama - Katibu Mkuu
5. Capt. (mst) John Zefania Chiligati - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6. Ndugu Vuai Ali Vuai - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7. Dr. Ali Mohamed Shein - Mjumbe
8. Ndugu Edward Ngoyai Lowassa - Mjumbe
9. Ndugu Shamsi Vuai Nahodha - Mjumbe
10. Alhaj Ali Hassan Mwinyi - Mjumbe
11. Ndugu Benjamin William Mkapa - Mjumbe
12. Dr. Salmin Amour - Mjumbe
13. Ndugu John Samwel Malecela - Mjumbe
14. Ndugu Nape Nnauye - Mjumbe
15. Ndugu Mwigulu Mchemba - Mjumbe
16. Ndugu January Makamba - Mjumbe
17. Ndugu Asha Abdallah Juma - Mjumbe
18. Ndugu Abdulrahman Kinana - Mjumbe
19. Ndugu Anna Makinda - Mjumbe
20. Ndugu Pandu Ameir Kificho - Mjumbe
21. Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe
22. Ndugu Rostum Aziz - Mjumbe
23.Dr. Mohamed Gharib Bilal - Mjumbe
24. Ndugu Pindi Hazara Chana - Mjumbe
25. Ndugu Andrew Chenge - Mjumbe
26. Dr. Maua Abeid Daftari - Mjumbe
27. Ndugu Samia Suluhu Hassan - Mjumbe
28. Ndugu Mohamed Seif Khatib - Mjumbe
29. Ndugu Haji Omar Kheri - Mjumbe
30 . Dr. Abdallah Omari Kigoda - Mjumbe
31 . Ndugu Abdurahman Kinana - Mjumbe
32 . Ndugu Anne Semamba Makinda - Mjumbe
33. Ndugu Fatuma Said Ali Mchumo - Mjumbe
34 . Ndugu Zakia Hamdan Meghji - Mjumbe
35. Ndugu Omar Yussuf Mzee - Mjumbe
36. Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe
37 . Ndugu Ali Ameir Mohamed - Mjumbe
38. Ndugu Yussuf Moh'd Yussuf - Mjumbe

Website Rasmi ya Chama Cha Mapinduzi - CCM

Vile vile kuthibitisha kuwa Sekreterieti ya Wilson Mukama na Nape inafanya michezo ya na akili za watanzania, miniti za kikao cha Halmshauri Kuu ya CCM cha tarehe 10 Aprili 2011 zilizopostiwa katika tovuti ya CCM azionyeshi popote kufikiwa kwa mamuzi ya kuwapatia wanachama wa CCM wanaotuhumiwa kuwa Mafisadi siku 90 kujipima wenyewe na kujiondoa katika nafasi zaoa ua ndani ya CCM. ibara ya 5 ya Maamuzi ya NEC ya Tarehe 10.04.2011 hapo chini yahusika

5. KUHUSU TATHMINI YA UCHAGUZI MKUU 2010

Halmashauri Kuu ya Taifa baada ya kujadili taarifa ya Tathmini ya Uchaguzi Mkuu wa 2010, imeagiza mambo yafuatayo:-

(a) Halmashauri Kuu ya Taifa imetoa Shukurani kwa wana CCM na wananchi kwa jumla kwa kukiunga mkono Chama Cha Mapinduzi wakati wa uchaguzi kwa kukipigia kura nyingi zilizokipa ushindi na hatimaye kuunda Serikali ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Wananchi wanaombwa kuendelea kukiunga mkono Chama Cha Mapinduzi katika chaguzi zingine zijazo.

(b) Serikali zote mbili, ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, zimetakiwa zitekeleze ipasavyo Ilani ya CCM ya 2010-2015 kwa kadri Chama kilivyoahidi wakati wa kampeni; kama zilivyo tekeleze kwa ufanisi mkubwa Ilani iliyopita iliyopita ya Uchaguzi ya 2005-2010.

(c) Serikali zote mbili ziongeze kasi ya kushughulikia matatizo ya wananchi ili kuwaondolea kero zinazowakabili, hasa tatizo la kupanda kwa gharama za maisha.

(d) Chama Cha Mapinduzi na Serikali zake kiongeze kasi ya mapambano dhidi ya viongozi na wanachama wanaojihusisha na rushwa. Aidha viongozi na wanachama wanaotuhumiwa kwa vitendo vya rushwa wajenge tabia ya kuwajibika wenyewe kwa maslahi ya Chama wasipofanya hivyo Chama kiwawajibishe kwa maslahi ya Chama na nchi.

Website Rasmi ya Chama Cha Mapinduzi - CCM

Siku za CCM zimebaki 82 ambapo wananchi watajua Pumba na Mchele.

Hii ni mara ya kwanza kwa Sekreterieti na Kamati Kuu ya CCM kuvunjwa, na ni after effect ya Vunja vunja ya Baraza la Mawaziri ya 2008. Hivyo after shock ya vunja vunja ya Sekreterierti na Kamati Kuu vya CCM will follow 36 months from now, that will be 2014 wakati wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
 
Nasukuru kuwa kidogo watz tumeanza kuwa waelewa napenda kukutoa hofu ndugu yangu kua ccm hawana jipya kwani watz 2nachohitaji ni mabadiliko ya kimaisha co ya chama kama m2 ni mwerevu hawezi kushawishika kwa yaliotokea dodoma kwani ni mchezo wa kuigiza. Kwa ukiangalia hakuna wa2 wapya waliingia ktk ccm wote ni walewale.wenye uwezo wa kuleta mabadiliko wameacha kwa chuki hivyo 2tegemee mpasuko ndani ya ccm. Kama walishindwa kufanya maamuzi ktk baraza la mawaziri juu ya dowanc sembuse ya nec
 
CCM haijacheza mchezo safi, badala yake inacheza na shilingi chooni kwa kuwa imeshindwa kuwatema MAFISADI PAPA, ushahidi uliopo unaonyesha kuwa ktk mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) wa tar 10 Aprili 2011 MAFISADI PAPA walichanguliwa kuwa katka Kamati Kuu ya CCM kwa mujibu wa tovuti ya CCM iliyonukuliwa leo tar 18 Aprili 2011.ORODHA YA WAJUMBE 38 WA KAMATI KUU YA CCM KWA MUJIBU WA TOVUTI YA CCM LEO TAR 18 APRILI 2011 NI AHAWA WAFUATAO IKIWEMO MAFISADI PAPA WATATU.
1. Ndugu Kakaya Mrisho Kikwete - Mwenyekiti
2. Ndugu Pius Msekwa - Makamu Mwenyekiti (Bara)

3. Ndugu Amani Abeid Amani Karume - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)

4. Ndugu Wilson Mukama - Katibu Mkuu
5. Capt. (mst) John Zefania Chiligati - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6. Ndugu Vuai Ali Vuai - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7. Dr. Ali Mohamed Shein - Mjumbe
8. Ndugu Edward Ngoyai Lowassa - Mjumbe
9. Ndugu Shamsi Vuai Nahodha - Mjumbe
10. Alhaj Ali Hassan Mwinyi - Mjumbe
11. Ndugu Benjamin William Mkapa - Mjumbe
12. Dr. Salmin Amour - Mjumbe
13. Ndugu John Samwel Malecela - Mjumbe
14. Ndugu Nape Nnauye - Mjumbe
15. Ndugu Mwigulu Mchemba - Mjumbe
16. Ndugu January Makamba - Mjumbe
17. Ndugu Asha Abdallah Juma - Mjumbe
18. Ndugu Abdulrahman Kinana - Mjumbe
19. Ndugu Anna Makinda - Mjumbe
20. Ndugu Pandu Ameir Kificho - Mjumbe
21. Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe
22. Ndugu Rostum Aziz - Mjumbe
23.Dr. Mohamed Gharib Bilal - Mjumbe
24. Ndugu Pindi Hazara Chana - Mjumbe
25. Ndugu Andrew Chenge - Mjumbe
26. Dr. Maua Abeid Daftari - Mjumbe
27. Ndugu Samia Suluhu Hassan - Mjumbe
28. Ndugu Mohamed Seif Khatib - Mjumbe
29. Ndugu Haji Omar Kheri - Mjumbe
30 . Dr. Abdallah Omari Kigoda - Mjumbe
31 . Ndugu Abdurahman Kinana - Mjumbe
32 . Ndugu Anne Semamba Makinda - Mjumbe
33. Ndugu Fatuma Said Ali Mchumo - Mjumbe
34 . Ndugu Zakia Hamdan Meghji - Mjumbe
35. Ndugu Omar Yussuf Mzee - Mjumbe
36. Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe
37 . Ndugu Ali Ameir Mohamed - Mjumbe
38. Ndugu Yussuf Moh'd Yussuf - Mjumbe

Website Rasmi ya Chama Cha Mapinduzi - CCM

Vile vile kuthibitisha kuwa Sekreterieti ya Wilson Mukama na Nape inafanya michezo ya na akili za watanzania, miniti za kikao cha Halmshauri Kuu ya CCM cha tarehe 10 Aprili 2011 zilizopostiwa katika tovuti ya CCM azionyeshi popote kufikiwa kwa mamuzi ya kuwapatia wanachama wa CCM wanaotuhumiwa kuwa Mafisadi siku 90 kujipima wenyewe na kujiondoa katika nafasi zaoa ua ndani ya CCM. ibara ya 5 ya Maamuzi ya NEC ya Tarehe 10.04.2011 hapo chini yahusika

5. KUHUSU TATHMINI YA UCHAGUZI MKUU 2010

Halmashauri Kuu ya Taifa baada ya kujadili taarifa ya Tathmini ya Uchaguzi Mkuu wa 2010, imeagiza mambo yafuatayo:-

(a) Halmashauri Kuu ya Taifa imetoa Shukurani kwa wana CCM na wananchi kwa jumla kwa kukiunga mkono Chama Cha Mapinduzi wakati wa uchaguzi kwa kukipigia kura nyingi zilizokipa ushindi na hatimaye kuunda Serikali ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Wananchi wanaombwa kuendelea kukiunga mkono Chama Cha Mapinduzi katika chaguzi zingine zijazo.

(b) Serikali zote mbili, ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, zimetakiwa zitekeleze ipasavyo Ilani ya CCM ya 2010-2015 kwa kadri Chama kilivyoahidi wakati wa kampeni; kama zilivyo tekeleze kwa ufanisi mkubwa Ilani iliyopita iliyopita ya Uchaguzi ya 2005-2010.

(c) Serikali zote mbili ziongeze kasi ya kushughulikia matatizo ya wananchi ili kuwaondolea kero zinazowakabili, hasa tatizo la kupanda kwa gharama za maisha.

(d) Chama Cha Mapinduzi na Serikali zake kiongeze kasi ya mapambano dhidi ya viongozi na wanachama wanaojihusisha na rushwa. Aidha viongozi na wanachama wanaotuhumiwa kwa vitendo vya rushwa wajenge tabia ya kuwajibika wenyewe kwa maslahi ya Chama wasipofanya hivyo Chama kiwawajibishe kwa maslahi ya Chama na nchi.

Website Rasmi ya Chama Cha Mapinduzi - CCM

Siku za CCM zimebaki 82 ambapo wananchi watajua Pumba na Mchele.

Hii ni mara ya kwanza kwa Sekreterieti na Kamati Kuu ya CCM kuvunjwa, na ni after effect ya Vunja vunja ya Baraza la Mawaziri ya 2008. Hivyo after shock ya vunja vunja ya Sekreterierti na Kamati Kuu vya CCM will follow 36 months from now, that will be 2014 wakati wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Jatropha, Mkuu wanichekesha.
Thats exacly the point I am making . bila CCM CDM haisimami kivyake!
CDM is a reactive party na si motion movers,chungulia nini kinaendelea CCM na ndio wanapata hoja zao-what a shame!
Hivi zaidi ya kulaumu CCM, CDM ina any appealing philosophy?
 
Usemavyo ni kweli baba
Nimekua nikufuatilia kwa makini tangu wiki iliyo pita baada ya kile kilicho elezwa nkuwa ni kujivua gamba kwa CCM ssa ni dhahili kila mtanzania ameanza kuimba wimbo wao wa kujivua gamba iwe ni kwa kusifia au kupinga hatua hiyo ya kujivua gamba! Ukiangalia hap JF thread nyingi zinazunguka na CCM! Magazeti mengi na vyombo vya habari Radio,Tv na hata tovuti navyo vinajadili habari ya CCM kujivua gamba! Suala la kujivua gamba kwa CCM limefanya hata Dr Slaa asahua na ile habari yake ya kuipa Serikali siku 21 kule Arusha juu ya Meya alie ingia madarakani kiujanjaujanja! Watalaamu wa Siasa wanasema hata habari ya Dr Slaa kule tabora kuongeza orodha mpya ya Mafisadi nayo ni taharuki ya CCM kujivua gamba! Wengine wanasema orodha mpya ya Dr Slaa ambayo imemhusiha na Dr Magufuli haijapokelewa kwa umakini na Watanzania kwani wingu liliopo ni habari ya kujivua gamba! Nape Nnauye amekua kinara kwa kuogelea juu ya agenda ya kujivua gamba! Leo Katibu wa Uenezi Chadema bila kujijua nae ameingia kwenye hoja hii ya kujivua gamba! Leo gazeti la Mwananchi ukurasi wa mbele imeandikwa kuwa Dr Slaa amempa Kikwete siku 90 ajivue gamba ikumbukwe tayari Dr Slaa anakipolo chake cha siku 21 kule Arusha alicho ipa serikali! pia Dr Slaa amekaririwa akisema kitendo cha kutakuwafukuza Lowasa,Rostam na Chenge ndio anguko la CCM vipande vipande!,lakini amesahau kuwa Lowasa,Rostam na Chenge hakuna chama chochote hapa Tanzania kinacho weza kuwapokea kwa sasa wananuka na wamekosa mvuto wa kisiasa kabisa,kuondoka kwao CCM ni sawa na kutupa mzoga na nzi wasikufuate tena! Hivyo imekua gamba gamba gamba kila kona.......!

My take: Siasa mara nyingi inahitaji uwe focused na mambo unayo yasimamia,lakini kuna utalaam wa kupindisha hoja ya mwenzako kwa kuibua jambo fulani kwa jamii!
Chadema ni mhimu kupima suala hili lasivyo itajipotezea muda wake kwa kurukia agenda wasiyo ijua!
 
Jatropha, Mkuu wanichekesha.
Thats exacly the point I am making . bila CCM CDM haisimami kivyake!
CDM is a reactive party na si motion movers,chungulia nini kinaendelea CCM na ndio wanapata hoja zao-what a shame!
Hivi zaidi ya kulaumu CCM, CDM ina any appealing philosophy?

Ww kiazi kweli unazani cdm ipo kwa ajili za kuisifu ccm? kwani wanagawana ruzuku. cdm razima ifanye kazi ruzuku iongezeke. sasa waache viazi wenzako ccm wafanye madudu kitumbua kiingie mchanga.
 
jatropha, mkuu wanichekesha.
Thats exacly the point i am making . Bila ccm cdm haisimami kivyake!
Cdm is a reactive party na si motion movers,chungulia nini kinaendelea ccm na ndio wanapata hoja zao-what a shame!
Hivi zaidi ya kulaumu ccm, cdm ina any appealing philosophy?

ipi ni falsafa ya ccm? Ufisadi na kulindana. Kama sio upinzani dhidi ya ufisadi toka cdm je ccm ingejivua gamba?
Ni nani anasubiri mwenzake ili atekeleze lolote? Vita vya ufisadi, katiba mpya nk.

Hivi ujamaa na kujitegemea viko wapi?
Je zipo rejea za kuonyenya mazishi ya ujamaa na kujitegemea na uzaliwa wa ubepari na ufisadi??
Hivi katika karne hii unategemea nini unapokuwa mwanachama wa ccm ukiwa na ra, chenga, la unaweza kuzungumza kweli???????
 
JUMANNE SAA TATU NA DAKIKA AROBAINI NA TANO USIKU.ITV.......KUTAKUWA NA KIPINDI MMAALUMU CHA KUJIVUA GAMBA...DONT MISS...! i wont miss it
 
Taarifa ya ccm kujivua hilo gamba sie watz haituhusu, sisi tunachotaka ni kurudishiwa kwa mali zetu za hao wenzao walizoliibia taifa. Afu watz tunatakiwa kuwa na uelewa wa kiwango cha juu kabisa, kwanza tujiulize kwa nini ccm wanatuchezea akili kiasi kwamba wanatuona kama vile sisi ni watoto wachanga, kitendo cha kutest zali upande wa katiba ya nchi ndo kinazidi kunifanya nizidi kukosa imani na hiki chama mfu!, najaribu kujiuliza ni kwa kivipi walikuwa wamekosea kuandaa mswada ambao kabisa walifahamu kuwa una mapungufu kwa asilimia 89 lakini kwao ukawa ni bora kwa 100% na bado wakawa wanazidi kuutetea kuwa ni mzuri, baado raia tunatoa maoni wa kupinga, tunapigwa mabomu, wakadhubutu kuandika mswada huo kwa lugha nyingine ambayo sio lugha ya wazawa! Hivi hawa ni wenzetu kweli! mi nina wasiwasi na Uraia wao, hivi kweli utafikishaje mawazo muhimu kwa watu wako kupitia lugha isiyoeleweka, hivi hiyo katiba ni ya Mwingereza? au wameicopy kwa mwingereza afu wakashindwa kutafsiri? mana nashindwa kuwaelewa. Watanzania nawaombeni tuache mzecho na hawa watu, cha msingi ni kufuta kabisa imani juu yao, HAWAFAI, hawana nia njema na hii nchi, hawa ni mamuruki! tuache utani CCM haifai hata kidogo! Tuanze kuandaa kizazi kinachoitambua ccm na uovu waloifanyia Tz. kama kweli wana nia njema nasi basi wawafungulie mashtaka hao WEZI na MAJAMBAZI ili tuamini kweli wameamua vinginevyo ni sawa na nyoka kujivua gamba wakati asili yake ni ya kuota gamba kila baada ya miezi 3, nyoka akijivua gamba hutulia kwa muda kisha kuanza mawindo kwa spidi ya ajabu, pasipo gamba CCM siyo ccm, ila tu wamevua gamba hilo la zamani ili wapate nguvu zaidi ya kuwinda mali na rasilimali za mbogo. PIGA HAO NI NYOKA! binadamu hana gamba!
 
Ww kiazi kweli unazani cdm ipo kwa ajili za kuisifu ccm? kwani wanagawana ruzuku. cdm razima ifanye kazi ruzuku iongezeke. sasa waache viazi wenzako ccm wafanye madudu kitumbua kiingie mchanga.
Kiazi?, well just I've surely met one of the local, down the drain nicompoops, no time wasting to argue with this.
 
ipi ni falsafa ya ccm? Ufisadi na kulindana. Kama sio upinzani dhidi ya ufisadi toka cdm je ccm ingejivua gamba?
Ni nani anasubiri mwenzake ili atekeleze lolote? Vita vya ufisadi, katiba mpya nk.

Hivi ujamaa na kujitegemea viko wapi?
Je zipo rejea za kuonyenya mazishi ya ujamaa na kujitegemea na uzaliwa wa ubepari na ufisadi??
Hivi katika karne hii unategemea nini unapokuwa mwanachama wa ccm ukiwa na ra, chenga, la unaweza kuzungumza kweli???????
Mkuu Kiloni, this is a good observation, it only lacks the historical perspective.
Upinzani kwa mafiisadi ulikuwa sehemu zote kutoka CDM,ndani ya CCM na hata katika Baraza la Mawaziri.
Mbona watu mnasahau haraka, mmeshamsahau Mwakyembe,Sitta,Selelii,Ole ,Manyanya na wengine?Hata JF wamefanya mchango mkubwa katika hili.
Na je hawa walikuwa CDM?
Kwamba CCM ilikuwa na matatizo makubwa halina ubishi, kwamba wamegutuka vile vile halina ubishi.Mimi siwatetei kwa ufisadi nawatetea kwa KUTAMBUA mwelekeo wa hisia za wananchi wa Tanzania.
As for policies lazima tukubali kuwa tupo katika transition kutoka socialism(ujamaa) na kuelekea kusikojulikana.
Hapa ndipo panakangaya,thinkers katika chama tawala ni wachache mno kuelezea kule tunakoelekea.
Mbaya zaidi ni hivi vyama vyetu vya upinzani,CDM included,havina policy inayoeleweka.
Kukosoa serikali kila mtu anajua lakini mpangilio wa njia ya maendeleo, kisiasa hakuna anayethubutu ku propound hilo.
Wengi wetu si wajinga sana maana makundi yaliyomo CCM ni yale yale yaliyomo CDM, ukiondoa wachache.
Hata ndani ya CDM kuna walio fanya ufisadi ndani ya mabenki yetu na wako kimya! as if hawapo.
What I am saying is -enough with the noise-lets start thinking again.
 
Jatropha, Mkuu wanichekesha.
Thats exacly the point I am making . bila CCM CDM haisimami kivyake!
CDM is a reactive party na si motion movers,chungulia nini kinaendelea CCM na ndio wanapata hoja zao-what a shame!
Hivi zaidi ya kulaumu CCM, CDM ina any appealing philosophy?

Unakumbuka CCM ilidai kuwa CHADEMA ni chama cha msimu, na kwa kupuuza hoja za CHADEMA ya Ufisadi na orodha ya watuhumiwa wa Ufisadi, wakati wa kampeni Kikwete akazunguka nchi nzima akikumbatiana na MAFISADI PAPA? Leo "mende kadondosha kabati" yule yule aliyekuwa akiwakumbatia Mafisadi Papa na kuwanyanyua mikono juu anadai MAFISAI HAO wanachafua taswira ya CCM.

CHADEMA ni chama kinachojisimamia na kubuni hoja zake ambazo ni endelevu kama ile ya Ufisadi, watuhumiwa wa Uifisadi ambazo zimekuwa zikiipeleka puta CCM since 2007. CHADEMA ilibuni na kusimamia hoja ya Katiba Mpya; kwa kuwa CCM is a reactive party ikarukia hoja hiyo japokuwa haipo katika Ilani yake ya Uchaguzi ya 2010. Based on those facts between CCM nad CHADEMA which is reactive party kila kinachobuni hoja zake au kile kinachoacha Ilani yake na kurukia hoja za chama kingine
?
 
Mkuu Kiloni, this is a good observation, it only lacks the historical perspective.
Upinzani kwa mafiisadi ulikuwa sehemu zote kutoka CDM,ndani ya CCM na hata katika Baraza la Mawaziri.
Mbona watu mnasahau haraka, mmeshamsahau Mwakyembe,Sitta,Selelii,Ole ,Manyanya na wengine?Hata JF wamefanya mchango mkubwa katika hili.
Na je hawa walikuwa CDM?

Kwamba CCM ilikuwa na matatizo makubwa halina ubishi, kwamba wamegutuka vile vile halina ubishi.Mimi siwatetei kwa ufisadi nawatetea kwa KUTAMBUA mwelekeo wa hisia za wananchi wa Tanzania.
As for policies lazima tukubali kuwa tupo katika transition kutoka socialism(ujamaa) na kuelekea kusikojulikana.
Hapa ndipo panakangaya,thinkers katika chama tawala ni wachache mno kuelezea kule tunakoelekea.
Mbaya zaidi ni hivi vyama vyetu vya upinzani,CDM included,havina policy inayoeleweka.
Kukosoa serikali kila mtu anajua lakini mpangilio wa njia ya maendeleo, kisiasa hakuna anayethubutu ku propound hilo.
Wengi wetu si wajinga sana maana makundi yaliyomo CCM ni yale yale yaliyomo CDM, ukiondoa wachache.
Hata ndani ya CDM kuna walio fanya ufisadi ndani ya mabenki yetu na wako kimya! as if hawapo.
What I am saying is -enough with the noise-lets start thinking again.

Mafahari wawili wakipigana mnyonge hunufaika. Ndio kilichotokea hao in nred walikuwa katika vita ya uwaziri mkuu waliokosa 2005, ndio watanzania tukafamua tuliyojua walipoumbuana wenyewe. Kama kweli the had the nation at herat ni kwa vipi Sitta aliwezo kujenga ofisi ya mbunge Urambo kwa mamilioni yaliyotajwa na kuifurnishi kwa zaifi ya Milioni 170?

Kinachotakiwa sasa ni kila mtu aliyeiba chochote arejeshe ili raslimali hizo zitumike kwa fiadi ya wote na ndio kazi tuliyompatia DR Slaa. vyote vilivyoibiwa virejeshwe
 
CCM haijacheza mchezo safi, badala yake inacheza na shilingi chooni kwa kuwa imeshindwa kuwatema MAFISADI PAPA, ushahidi uliopo unaonyesha kuwa ktk mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) wa tar 10 Aprili 2011 MAFISADI PAPA walichanguliwa kuwa katka Kamati Kuu ya CCM kwa mujibu wa tovuti ya CCM iliyonukuliwa leo tar 18 Aprili 2011.ORODHA YA WAJUMBE 38 WA KAMATI KUU YA CCM KWA MUJIBU WA TOVUTI YA CCM LEO TAR 18 APRILI 2011 NI AHAWA WAFUATAO IKIWEMO MAFISADI PAPA WATATU.
1. Ndugu Kakaya Mrisho Kikwete - Mwenyekiti
2. Ndugu Pius Msekwa - Makamu Mwenyekiti (Bara)

3. Ndugu Amani Abeid Amani Karume - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)

4. Ndugu Wilson Mukama - Katibu Mkuu
5. Capt. (mst) John Zefania Chiligati - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6. Ndugu Vuai Ali Vuai - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7. Dr. Ali Mohamed Shein - Mjumbe
8. Ndugu Edward Ngoyai Lowassa - Mjumbe
9. Ndugu Shamsi Vuai Nahodha - Mjumbe
10. Alhaj Ali Hassan Mwinyi - Mjumbe
11. Ndugu Benjamin William Mkapa - Mjumbe
12. Dr. Salmin Amour - Mjumbe
13. Ndugu John Samwel Malecela - Mjumbe
14. Ndugu Nape Nnauye - Mjumbe
15. Ndugu Mwigulu Mchemba - Mjumbe
16. Ndugu January Makamba - Mjumbe
17. Ndugu Asha Abdallah Juma - Mjumbe
18. Ndugu Abdulrahman Kinana - Mjumbe
19. Ndugu Anna Makinda - Mjumbe
20. Ndugu Pandu Ameir Kificho - Mjumbe
21. Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe
22. Ndugu Rostum Aziz - Mjumbe
23.Dr. Mohamed Gharib Bilal - Mjumbe
24. Ndugu Pindi Hazara Chana - Mjumbe
25. Ndugu Andrew Chenge - Mjumbe
26. Dr. Maua Abeid Daftari - Mjumbe
27. Ndugu Samia Suluhu Hassan - Mjumbe
28. Ndugu Mohamed Seif Khatib - Mjumbe
29. Ndugu Haji Omar Kheri - Mjumbe
30 . Dr. Abdallah Omari Kigoda - Mjumbe
31 . Ndugu Abdurahman Kinana - Mjumbe
32 . Ndugu Anne Semamba Makinda - Mjumbe
33. Ndugu Fatuma Said Ali Mchumo - Mjumbe
34 . Ndugu Zakia Hamdan Meghji - Mjumbe
35. Ndugu Omar Yussuf Mzee - Mjumbe
36. Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe
37 . Ndugu Ali Ameir Mohamed - Mjumbe
38. Ndugu Yussuf Moh’d Yussuf - Mjumbe

Website Rasmi ya Chama Cha Mapinduzi - CCM

Vile vile kuthibitisha kuwa Sekreterieti ya Wilson Mukama na Nape inafanya michezo ya na akili za watanzania, miniti za kikao cha Halmshauri Kuu ya CCM cha tarehe 10 Aprili 2011 zilizopostiwa katika tovuti ya CCM azionyeshi popote kufikiwa kwa mamuzi ya kuwapatia wanachama wa CCM wanaotuhumiwa kuwa Mafisadi siku 90 kujipima wenyewe na kujiondoa katika nafasi zaoa ua ndani ya CCM. ibara ya 5 ya Maamuzi ya NEC ya Tarehe 10.04.2011 hapo chini yahusika

5. KUHUSU TATHMINI YA UCHAGUZI MKUU 2010

Halmashauri Kuu ya Taifa baada ya kujadili taarifa ya Tathmini ya Uchaguzi Mkuu wa 2010, imeagiza mambo yafuatayo:-

(a) Halmashauri Kuu ya Taifa imetoa Shukurani kwa wana CCM na wananchi kwa jumla kwa kukiunga mkono Chama Cha Mapinduzi wakati wa uchaguzi kwa kukipigia kura nyingi zilizokipa ushindi na hatimaye kuunda Serikali ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Wananchi wanaombwa kuendelea kukiunga mkono Chama Cha Mapinduzi katika chaguzi zingine zijazo.

(b) Serikali zote mbili, ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, zimetakiwa zitekeleze ipasavyo Ilani ya CCM ya 2010-2015 kwa kadri Chama kilivyoahidi wakati wa kampeni; kama zilivyo tekeleze kwa ufanisi mkubwa Ilani iliyopita iliyopita ya Uchaguzi ya 2005-2010.

(c) Serikali zote mbili ziongeze kasi ya kushughulikia matatizo ya wananchi ili kuwaondolea kero zinazowakabili, hasa tatizo la kupanda kwa gharama za maisha.

(d) Chama Cha Mapinduzi na Serikali zake kiongeze kasi ya mapambano dhidi ya viongozi na wanachama wanaojihusisha na rushwa. Aidha viongozi na wanachama wanaotuhumiwa kwa vitendo vya rushwa wajenge tabia ya kuwajibika wenyewe kwa maslahi ya Chama wasipofanya hivyo Chama kiwawajibishe kwa maslahi ya Chama na nchi.

Website Rasmi ya Chama Cha Mapinduzi - CCM

Siku za CCM zimebaki 82 ambapo wananchi watajua Pumba na Mchele.

Hii ni mara ya kwanza kwa Sekreterieti na Kamati Kuu ya CCM kuvunjwa, na ni after effect ya Vunja vunja ya Baraza la Mawaziri ya 2008. Hivyo after shock ya vunja vunja ya Sekreterierti na Kamati Kuu vya CCM will follow 36 months from now, that will be 2014 wakati wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.


# 18 & 19 ni sawa na #31 & 32

Au ni watoto wao? manake hiyo ni CCM na CCM Inawenyewe
 
Mkuu Kiloni, this is a good observation, it only lacks the historical perspective.
Upinzani kwa mafiisadi ulikuwa sehemu zote kutoka CDM,ndani ya CCM na hata katika Baraza la Mawaziri.
Mbona watu mnasahau haraka, mmeshamsahau Mwakyembe,Sitta,Selelii,Ole ,Manyanya na wengine?Hata JF wamefanya mchango mkubwa katika hili.
Na je hawa walikuwa CDM?
Kwamba CCM ilikuwa na matatizo makubwa halina ubishi, kwamba wamegutuka vile vile halina ubishi.Mimi siwatetei kwa ufisadi nawatetea kwa KUTAMBUA mwelekeo wa hisia za wananchi wa Tanzania.
As for policies lazima tukubali kuwa tupo katika transition kutoka socialism(ujamaa) na kuelekea kusikojulikana.
Hapa ndipo panakangaya,thinkers katika chama tawala ni wachache mno kuelezea kule tunakoelekea.
Mbaya zaidi ni hivi vyama vyetu vya upinzani,CDM included,havina policy inayoeleweka.
Kukosoa serikali kila mtu anajua lakini mpangilio wa njia ya maendeleo, kisiasa hakuna anayethubutu ku propound hilo.
Wengi wetu si wajinga sana maana makundi yaliyomo CCM ni yale yale yaliyomo CDM, ukiondoa wachache.
Hata ndani ya CDM kuna walio fanya ufisadi ndani ya mabenki yetu na wako kimya! as if hawapo.
What I am saying is -enough with the noise-lets start thinking again.

If you want the historical perspective ya ufisadi then you should not Mention SITTA et. al as the the pioneers of this initiative. If you want to be true to yourself ,you will remember that it was Sitta, as Speaker of the National assembly who castigated Dr. Slaa for bringing the issue of EPA to parliament and even challenging him to present evidence! Sitta went even farther to contend that what Dr. Slaa had alluded to were mere gossip from the internet thereby doubting the credibility of the social media!! Sitta, Mwakyembe and their colleagues joined the anti-ufisadi bandwagon to use it against their sworn enemies in ccm period otherwise they are not better than their colleagues. Lowassa made a parting shot during his resignation speech when he said that if they within ccm started throwing mud at each other none of them would be spared and it is obvious the fight has now started.
 
CDM kwa sasa waeleza falsafa yao tuifahamu hatutaki kusikia CCM ikisema hawana falsafa wawambie wananchi wanasimamia katika nini,kama ni kaatika NGUVU YA UMMA watwambie,
 
Back
Top Bottom