Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Watanzania acheni kuwa vichwa panzi, Chini ya Kikwete CCM ilikuja na agenda ya kujivua Gamba, machawa wakuu wa kupayuka kauli mbiu hio walikuwa Ndugu Kinana na Nape. Miongoni mwa waliofedheheshwa na kuabishwa ni Rostam Aziz, Lowasa na wengineo.
Msisahau waliosalitiwa nchi hii ni wengi, ikikumbukwe kuwa ukiwa Rais wa nchi mambo ni mengi yawezekana agenda ya kujivua Gamba ililetwa na machawa wa kikwete pasipo adhima yake.
Hata hivyo matokea yake yamebebwa na Kikwete na hana budi kuendelea kuwa jasiri na asonge mbele.
Kwenye maisha mazuri huyeyuka na mabaya huganda yakiambatana na wewe nyakati zote kila pahala.
Ubaya ni kama ilivyo kuzimu kila mja hunena.
Ni rejea fupi
Wadiz
Msisahau waliosalitiwa nchi hii ni wengi, ikikumbukwe kuwa ukiwa Rais wa nchi mambo ni mengi yawezekana agenda ya kujivua Gamba ililetwa na machawa wa kikwete pasipo adhima yake.
Hata hivyo matokea yake yamebebwa na Kikwete na hana budi kuendelea kuwa jasiri na asonge mbele.
Kwenye maisha mazuri huyeyuka na mabaya huganda yakiambatana na wewe nyakati zote kila pahala.
Ubaya ni kama ilivyo kuzimu kila mja hunena.
Ni rejea fupi
Wadiz