itatawala vipi milele wakati tumeandaa nyengo za kukatia mikono yenu ishindwe kufunga goli la mkono?Endelea kujidanganya ccm itatawala milele
Tehetehetehe. Haww jamaa wameliwa. Miaka yote walikuwa wanapiga porojo ilhali CCM ilikuwa inaongeza wanachama. Mpaka sasa CCM ina zaidi ya wanachama milioni 12 na ushee.
Endelea kujidanganya ccm itatawala milele
Itakapofika tarehe 1 November 2015, halafu CCM bado ikawa ipo madarakani na watu wanaendelea na shughuli zao za ujenzi wa Taifa kama kawaida sijui hawa UKAWA watajificha wapi, sidhani kama kuna mmoja wao atathubutu hata kuchungulia hili jukwaa
pole sana mwaka huu hamtaamini kitakachotoke msicheze na mungu mwaka wa mageuzi huu mungu kasikia kilio cha watanzaniaEndelea kujidanganya ccm itatawala milele
1.Arusha hapakamatiki
2.Monduli ccm watakwenda kwa passport.
3.Dar es salaam wameamua kuizika CCM
4.Sikonge balaa
5.Mbeya mmejionea jana
6.Shinyanga ccm imevunjwa miguu.
7.Rukwa ndio balaa kabisa ambako hata watanzania wengi hawakudhania.
8.Mwanza ccm inapumulia mipila muda huu.
9.Vikao vya Kamati kuu CCM kuanza na idadi ndogo kabisa ya wajumbe haijawah tokea na ukweli ndio huo anayebishi haitakii ccm mema.
10.Kila mwanaccm analalamikia rushwa na utaratibu mbovu wa uteuz ndani ya chama kumbuka milioni 700 nani kakamatwa na hyo ni pesa ya nani?
Ushauri tusiwahadae watu kwamba CCM bado inapendwa CCM imekufa kabisa na inahitaji uwe na akili za mwendawazimu kuipigia kura CCM. Nchi nzima watanzania wenye akili timamu wameamua.
Habari ya UKAWA ya 50% na CCM 50% haipo kabisa, hapa ni UKAWA 80% na CCM 20%.
CCM pumzikeni kwa amani mkituachia nchi yenye amani watanzania wameamua.
Hivi kuhama watu 100,000 wanaweza kubadili matokeo ya uchaguzi katika watu 6,000,000/= kama wataweza basi hatari... Hesabu zimepata mwanafunzj makini sana.
Utajua 25 Oct kama ccm hipo au haipo mnajidanganya UKAWA kwamba mnaweza itoa ccm ni ndoto za mchana tumejipanga
Tehetehetehe. Haww jamaa wameliwa. Miaka yote walikuwa wanapiga porojo ilhali CCM ilikuwa inaongeza wanachama. Mpaka sasa CCM ina zaidi ya wanachama milioni 12 na ushee.
Utajua 25 Oct kama ccm hipo au haipo mnajidanganya UKAWA kwamba mnaweza itoa ccm ni ndoto za mchana tumejipanga
Itakapofika tarehe 1 November 2015, halafu CCM bado ikawa ipo madarakani na watu wanaendelea na shughuli zao za ujenzi wa Taifa kama kawaida sijui hawa UKAWA watajificha wapi, sidhani kama kuna mmoja wao atathubutu hata kuchungulia hili jukwaa