Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,802
- 2,961
Wapumzike kabisa tumewachoka
Endelea kujidanganya ccm itatawala milele
Endelea kujidanganya ccm itatawala milele
Endelea kujidanganya ccm itatawala milele
Hivi kuhama watu 100,000 wanaweza kubadili matokeo ya uchaguzi katika watu 6,000,000/= kama wataweza basi hatari... Hesabu zimepata mwanafunzj makini sana.
unajitahidi kuvumulia sana kidogo kidogo utazowea!Unafaa kuwa muimba taarabu kwenye bendi ya Hadija Kopa
Mbona umetumia lugha ya kiungwana sana? Sema hahami fisadi tu bali wanahama na wale wanufaika wa ufisadi
Tehetehetehe. Haww jamaa wameliwa. Miaka yote walikuwa wanapiga porojo ilhali CCM ilikuwa inaongeza wanachama. Mpaka sasa CCM ina zaidi ya wanachama milioni 12 na ushee.
Your are so static ndio ulivyo karirishwa!! hii mitaala ambayo watu wamefundishwa huko mashuleni inabidi ifutwe hatari!!Endelea kujidanganya ccm itatawala milele
amen na ifeee
Hivi kuhama watu 100,000 wanaweza kubadili matokeo ya uchaguzi katika watu 6,000,000/= kama wataweza basi hatari... Hesabu zimepata mwanafunzj makini sana.