CCM imekufa kabisa

CCM imekufa kabisa

Tehetehetehe. Haww jamaa wameliwa. Miaka yote walikuwa wanapiga porojo ilhali CCM ilikuwa inaongeza wanachama. Mpaka sasa CCM ina zaidi ya wanachama milioni 12 na ushee.

mbona Nnape na Kikwete wanasema Milioni nane wewe unasema mil 12. Hivi kweli unathubutu kuidanganya nafsi yako kwa malipo ya buku saba kwa siku? Pole sana kijana
 
Hivi kuhama watu 100,000 wanaweza kubadili matokeo ya uchaguzi katika watu 6,000,000/= kama wataweza basi hatari... Hesabu zimepata mwanafunzj makini sana.

Mmmh. Kwani watanzania waliojiandikisha kupiga kura ni 6,100,000. Mi najua kulingana na takwimu za tume watu waliojiandikisha ni zaidi ya mil 20, so kwa hesabu makini, ccm mtabaki na kura zenu 6,000,000. Huku ukawa wakichukua mil 14,000,000. #tukutane october.
 
Itakapofika tarehe 1 November 2015, halafu CCM bado ikawa ipo madarakani na watu wanaendelea na shughuli zao za ujenzi wa Taifa kama kawaida sijui hawa UKAWA watajificha wapi, sidhani kama kuna mmoja wao atathubutu hata kuchungulia hili jukwaa

sisi kwa kweli hatuja andaa pa kujificha.. ila nyie kwa kuwa ni chama makini bila shaka mmeshaandaa pa kukimbilia ukuwa itakapo chukua nchi...
 
Endelea kujidanganya ccm itatawala milele

Duh una moyo was chuma hayo ni mahaba ya ccm au umezaliwa ccm kubal ccm it is over now viva to kikwete for the great work to cancel ENL
 
Endelea kujidanganya ccm itatawala milele

Mkuu ni kwel mlitawala huko nyuma na mnatawala kupitia nguvu dola, but kw hiki kizazi na tunayoyashuhudia....

Baada ya 25th Oct, Kutawala tena ni jukumu ambalo haliwezekani na hata Kiti kimeshindwa na kuingiwa na uoga!

Unless ubishi tuu ututawale vichwan mwetu.
 
Hivi kuhama watu 100,000 wanaweza kubadili matokeo ya uchaguzi katika watu 6,000,000/= kama wataweza basi hatari... Hesabu zimepata mwanafunzj makini sana.

Kuna impact kubwa sanaa. Hao unasema 100,000 hubeba ujumbe wa watu wengi sana ktk Jamii.
Mkuu ni suala la hesabu tuu hizo.
 
Kuna Group la vijana, tena wengi UVCCM wamegeuka na sasa ni UKAWA... na wameapa kuwa na Lowassa kufa na kupona... na wana slogan kali kweli....

Delete CCM...

Delete CCM...

Delete CCM...

Delete CCM...

Delete CCM...


Hadi sasa Ukawa 90%, CCM 10%....hutaki
nenda kwa Nape akwambie haya..!!
 
Hivi kuhama watu 100,000 wanaweza kubadili matokeo ya uchaguzi katika watu 6,000,000/= kama wataweza basi hatari... Hesabu zimepata mwanafunzj makini sana.

kuna kundi kubwa sana la ccm watapiga kura Ukawa wakiwa ndani ya chama chao cha ccm. Hao waliohama wamejiamini, wapo waoga wamehama kifikra ila wameogopa kurudisha kadi
 
Tehetehetehe. Haww jamaa wameliwa. Miaka yote walikuwa wanapiga porojo ilhali CCM ilikuwa inaongeza wanachama. Mpaka sasa CCM ina zaidi ya wanachama milioni 12 na ushee.

Kwi kwi kwi kwi 😛eace: mmesharekebisha register ili iendane na bao la mkono?
 
Eti eeeh!!! Guninita kikosi kazi chake wako wangapi????
Tehetehetehe. Haww jamaa wameliwa. Miaka yote walikuwa wanapiga porojo ilhali CCM ilikuwa inaongeza wanachama. Mpaka sasa CCM ina zaidi ya wanachama milioni 12 na ushee.
 
Itakapofika tarehe 1 November 2015, halafu CCM bado ikawa ipo madarakani na watu wanaendelea na shughuli zao za ujenzi wa Taifa kama kawaida sijui hawa UKAWA watajificha wapi, sidhani kama kuna mmoja wao atathubutu hata kuchungulia hili jukwaa

Jiulize wewe utaficha wapi sura yako pale atakapokuwa anaapishwa Rais mteule Edward Lowasa!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom