CCM imejiandaa kupora ushindi wa CHADEMA Igunga

CCM imejiandaa kupora ushindi wa CHADEMA Igunga

Kwani lazima CCM watawale milele? kwani lazima watuue ili watawale? Last year kabla ya uchaguzi nilikua bariadi niliyoyaskia kuhusu CCM yalinitisha kama ambavyo tena nimeyaskia RADIO WAPO asubuhi kupitia Dr. Slaa kuwa CCM wana-vikundi vya mauaji! Nina uhakika CCM wataleta maafa Tanzania, OMBI langu kwao, waondoke tu kwa amani at least wanetu waione nchi hii kwa macho yao mawili! MUNGU ibariki Tanzania, sipo kwajili ya kubishana ujinga na wajinga!

Hiyo radio inafanana na ile radio ya banyamule ya huko rwanda enzi za geneocide..same owner

Jamaa kumbe anatumiaga hako ka-radio bac balaaa..
 
Habari za uhakika nilizopata kwa jamaa aliyekariibu na mtandao wa CCM anasema CCM imejiandaa kupora ushindi wa Chadema huko Igunga. Njia watakazotumia kupora ushindi ni pamoja na kuingiza kura feki au kulazimisha kutangaza ushindi wa CCM. <br />
<br />
Matayarisho ya uporaji uporaji huo wa ushindi wa Chadema unaenda sambamba na kupeleka makamamnda wa polisi huko Igunga pamoja na maafisa usalama wa taifa ambao anawaita ni makada wa CCM wala si usalama wa Taifa. Sijui ni kwa namna gani Chadema watazuia uporaji huo. Anasema kama Chadema hawatagangamaa kama watu wa Mwanza na Arusha kwa hakika ni lazima CCM itapora ushindi huo. <br />
<br />
Ninahisi harufu mbaya huko igunga na Mungu awalinde Chadema na watu wa Igunga dhidi ya dhuluma zilizopangwa na CCM, kupora ushindi wa chadema.
<br />
<br />
Hizo ni dalili za magwanda kutapatapa ili mpate sababu mkichanwachanwa na CCM Igunga. Endeleeni kutafuta sababu nyingine hii haiingii akilini.
 
Habari za uhakika nilizopata kwa jamaa aliyekariibu na mtandao wa CCM anasema CCM imejiandaa kupora ushindi wa Chadema huko Igunga. Njia watakazotumia kupora ushindi ni pamoja na kuingiza kura feki au kulazimisha kutangaza ushindi wa CCM. <br />
<br />
Matayarisho ya uporaji uporaji huo wa ushindi wa Chadema unaenda sambamba na kupeleka makamamnda wa polisi huko Igunga pamoja na maafisa usalama wa taifa ambao anawaita ni makada wa CCM wala si usalama wa Taifa. Sijui ni kwa namna gani Chadema watazuia uporaji huo. Anasema kama Chadema hawatagangamaa kama watu wa Mwanza na Arusha kwa hakika ni lazima CCM itapora ushindi huo. <br />
<br />
Ninahisi harufu mbaya huko igunga na Mungu awalinde Chadema na watu wa Igunga dhidi ya dhuluma zilizopangwa na CCM, kupora ushindi wa chadema.
<br />
<br />
Kusababisha uvunjifu wa amani haihitaji gharama sana. Ila amani ina gharama kubwa, naona ccm wamedhamiria kuleta machafuko. Ndani ya ccm wapo wanaccm waliochoshwa na sera na ubakaji wa democrasia wa ccm. Hakuna kura kuibwa, chadema wapo makini sana.
 
Hizo ni dalili za magwanda kutapatapa ili mpate sababu mkichanwachanwa na CCM Igunga. Endeleeni kutafuta sababu nyingine hii haiingii akilini.

Pole sana Mwita kibarua walichokupa kina Msekwa, Mukama , Nape na wengineo ni kigumu sana. Kila thread inayohusu Chadema lazima utupie post. Kwa bidii yako uliyonayo si ajabu ukapewa U-DC
 
Mungu wabariki wana Igunga, Mungu ibariki Chadema.
 
Kama kawaida ya ccm kuwa dhuluma mbele haki nyuma.Leo huku Njombe kwenye kampeni za ccm malori yamebeba watu toka vijiji mbalimbali kukidhi usanii
 
Kwa mfano nani amekandamizwa? mmepewa uhuru kwa mujibu wa sheria..
<br />
<br />
Ndugu yangu SHETANI sio lazima awe na Mkia mrefu. Tuwaonee huruma watanzania wanaokandamizwa na mikataba feki, wizi wa mali za umma na uongo wa SISIEM unaofanya maendeleo yawe kama safari kinyonga maana tuna spidi ndogo sana
 
Habari za uhakika nilizopata kwa jamaa aliyekariibu na mtandao wa CCM anasema CCM imejiandaa kupora ushindi wa Chadema huko Igunga. Njia watakazotumia kupora ushindi ni pamoja na kuingiza kura feki au kulazimisha kutangaza ushindi wa CCM.

Matayarisho ya uporaji uporaji huo wa ushindi wa Chadema unaenda sambamba na kupeleka makamamnda wa polisi huko Igunga pamoja na maafisa usalama wa taifa ambao anawaita ni makada wa CCM wala si usalama wa Taifa. Sijui ni kwa namna gani Chadema watazuia uporaji huo. Anasema kama Chadema hawatagangamaa kama watu wa Mwanza na Arusha kwa hakika ni lazima CCM itapora ushindi huo.

Ninahisi harufu mbaya huko igunga na Mungu awalinde Chadema na watu wa Igunga dhidi ya dhuluma zilizopangwa na CCM, kupora ushindi wa chadema.

Naona mnaandaa mazingira ya kukataa ushindi maana kuporwa mporwe nyie tu!
 
Wamezoea kuiba kura safari hii hatukubali, heri ya tunisia au misri.......kwa nini hawa magamba wana uchu wa madaraka kiasi hiki utafikiri hii nchi ni haki yao kuitawala kwa njia za panya. Ni heri kufa ukipigania haki ili vizazi vijavyo vije kula matunda, kama kifo kila mtu ataonja umauti lakini siyo kukaa na kuvumilia huu mchezo mchafu.
From igunga...........
 
Ninathibisha rasmi madai haya!
Wale vijana maalu wa kijito nyama waliofanikisha mkuu wa kaya kurudi magogoni, wamepewa tena tenda ya kulinda jimbo la Igunga kwa ghalama yoyote!
Kikao cha mikakati hiyo baada ya kupewa
tenda hiyo na ccm kilifanyika ktk
kiunga DF12 cha pale kijitonyama juzi saa
tatu usiku chini ya Msekwa,DD5,DD14,Mkama,Wasira na January Makamba

Tatizo lililopo ni baadhi ya vijana kuonyesha dalili za kupinga dili hili chafu!

Nilihudhuria kikao hicho kwa shingo upande lakini na wahakikishishia kuwa nitatumia uwezo wangu wote kuharibu mpango huu mchafu dhidi ya demokrasia!

Nitawajuza kila kinachoendelea juu ya Igunga!

Pamoja na kikao hicho ulichohudhuria ni kwamba maelekezo wameshapewa makamanda wa polisi na maafisa usalama siku za nyuma kuwa lazima jimbo la Igunga libaki kwa CCM. Kwa uhalisia mpaka ilivyo sasa hakuna uchaguzi Igunga. Ndio maana unaona hali inazidi kuchafuka huko Igunga.
 
Kwani lazima CCM watawale milele? kwani lazima watuue ili watawale? Last year kabla ya uchaguzi nilikua bariadi niliyoyaskia kuhusu CCM yalinitisha kama ambavyo tena nimeyaskia RADIO WAPO asubuhi kupitia Dr. Slaa kuwa CCM wana-vikundi vya mauaji! Nina uhakika CCM wataleta maafa Tanzania, OMBI langu kwao, waondoke tu kwa amani at least wanetu waione nchi hii kwa macho yao mawili! MUNGU ibariki Tanzania, sipo kwajili ya kubishana ujinga na wajinga!

Inasikitisha, nchi yetu kabla ya CCM kutoka madarakani itasababisha maafa makubwa sana kwa wananchi.
 
Maji shingoni pwaaaaaaaaa!

Endeleeni mnafaa sana kuwa kwenye complain corner..bado wananchi wanajua wahuni hawawezi leta maendeleo...

Hapo kwenye red, hata Gadafi aliwaita hivyo hivyo leo ndiyo wanatawala wa Libya
 
Inasikitisha, nchi yetu kabla ya CCM kutoka madarakani itasababisha maafa makubwa sana kwa wananchi.

Hili ndugu yangu nshaliona muda mrefu, ccm wanamiliki mbuga zetu,pesa haramu,wemejimlikisha migodi,kila aina ya vitega uchumi.ccm wako tayari kutumia mbinu chafu zote wabaki madarakani.wamekua wakitumia ukabila lakin haukupata nafasi,wamejaribu kutugawa kwa dini naona kama waelekea kufanikisha!Cuf ilipotishia ccm wakasema chama magaidi,cdm wakasema cha kikristo,watanzania wao ni bendera tu.nachotaka kuimanisha hapa ni kwamba kiondoa ccm madarakani,ni lazima damu itamwagika tu wala halina ubishi.

Mbaya zaidi Tanzania ni nchi pekee duniani ambapo usalama wa taifa wanashiriki kuligawa taifa na kuhatarisha usalama wa taifa aidha kwa kuhaidiwa vyeo au kupewa mirija ya kufisadi maliasili za nchi yetu.Naongea maneno haya leo,wekeni kwenye kumbukumbu zenu siku moja mtayakumbukeni.
 
Back
Top Bottom