Ningekuwa na nafasi Kama ya Siro, haki ya Mungu CCM wangenikoma. Yaani ingekuwa nipe nikupe, ningehakikish Mimi na jamaa wa jamaa zangu na mpaka vitukuu tunakuwa matajiri. Maana Siro akiamua hata kesho CCM ifutike inafutika.no way
Hayo ndiyo maajabu, CCM hawana tofauti na shetani, kwa Sababu huwa hawapendi kuwa wakweli na hawajawahi kushirikiana na mtu mkweli. Sasa Kama vijana waachane na siasa, kwanza waulize swali moja tu, Baba wa hili Taifa alianza kufanya siasa Akiwa na umri gani?.Kuna mijitu inakuja hapa inaandika" vijana fanyeni kazi achana na siasa" ukiona hivyo ujue ni kutoka CCM, wanavunja moyo vijana. . Sasa mwakani vijana wote wanapiga kura .
Umeongea utumbo mtupu jombaa...kwanza sijui unawasemea watanzania asilimia ngapi..kwa sababu asilimia 90 ya watanzania wapo nyuma ya Magufuli na serikali yake.. unasikia kila kukicha wananchi wakipongeza juhudi znazofanywa na serikali hii..hili halina doubt kabisa.Kama siyo mbinu ya JPM Kupiga Marufuku mikutano ya kisiasa tangu Alipoingia Madarakani, sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine kabisa, Nina Imani hata kitendo cha kuvunja katiba ya Nchi makusudi ni baada ya Kuona CCM ilivyozidiwa ktk Kampeni za Uraisi, 2015. Binafsi Mimi siyo mfuasi wa Chama chochote cha siasa, ila Mmi ni Mtanzania ninayependa sana Nchi yangu...
Ukiona maisha yanakushinda hama nenda kwingine jombaa2020 hivi vyama vya Siasa vikishindwa kuondoa huyu Jinamizi wa Nchi hii CCM, Sisi tusio na Vyama Tutatafuta njia mbadala ya kuwapumzisha. Tumechoka. Nchi zote za Africa mashariki zinasonga mbele kiuchumi ati sisi tunarudi kinyumenyume. Hatutakubali, hii Nchi Siyo Mali ya CCM wala CHADEMA wala ICT Wala Chama Chochote cha Siasa, hii Nchi ni Mali yetu Sisi Wananchi., Mungu ametupa kila kitu, lakini kila Siku tunazidi kuporomoka. Ati Kisa, CCM. Waondoke zao kabisa.
Ukiona mtu yeyote Leo anaitetea CCM basi jua huyo ni kula kulala, labda baba, mama, shangazi au mjomba anafanya kazi CCM na yeye ni kijana wa nyumbani. Hakuna mtu yeyote Tanzania hii Leo mwenye akili timamu asiyejua kuwa CCM ni ya Wazee kwa hiyo imechoka na haina mbinu mpya tena.Umeongea utumbo mtupu jombaa...kwanza sijui unawasemea watanzania asilimia ngapi..kwa sababu asilimia 90 ya watanzania wapo nyuma ya Magufuli na serikali yake.. unasikia kila kukicha wananchi wakipongeza juhudi znazofanywa na serikali hii..hili halina doubt kabisa...
Mmefilisika sera kichwani sasa hivi mnatapatapa hamna pa kushika...biashara zenu za madili na utapeli zimefilisika..maisha yamekuwa magumu kilichobaki ndio mnaharahara humu mitandaoni..hahahaha..Chama cha mashetani ccm kimechokwa vibaya sana ,sasa Jiwe anahasira sana maana yeye alijua anapendwa sana na watanzania ,sasa kilichomwacha hoi ni Kule kushindwa uchaguzi vibaya sana ile 2015 ,pamoja na kupindua matokeo lakini ilimuuma sana ,ili kulipiza kisasi Jiwe akaanza kuwakomoa wananchi ,Mara vunjia nyumba ,Mara vyeti feki ,Mara tumbua tumbua ,Mara fungia biashara ,hiyo yote ilikuwa ni visasi na hasira za kukataluwa na watanzania .
Ndo maana wamlitoa kafara alipotaka kujitoaHata baba wa Taifa hili Mwl Nyerere angekuwa hai angekuwa ameshakichoka.
Yaani nihame Nchi yangu kwa Sababu ya CCM, Haitawahi kutokea, kwanza hawa watu sasa hivi wako mwisho mwisho tu wa uhai wao, I believe , withing 10 years from now, hakuna kitu kitaitwa CCM Nchi hii,Ukiona maisha yanakushinda hama nenda kwingine jombaa
Viongozi wenu vijana shupavu wote wameenda ccm kumssupport Magufuli na serikali yake..sikuelewi hoja yako inajikita kwenye utafiti upi...endeleeni kutapatapa kwa sababu hamna sera kwa sasa..hata kiongozi wenu wa safari ya matumaini karudi nyumbani kumenoga...mmebaki na Mr Zero tu..mnatia aibu sanaUkiona mtu yeyote Leo anaitetea CCM basi jua huyo ni kula kulala, labda baba, mama, shangazi au mjomba anafanya kazi CCM na yeye ni kijana wa nyumbani. Hakuna mtu yeyote Tanzania hii Leo mwenye akili timamu asiyejua kuwa CCM ni ya Wazee kwa hiyo imechoka na haina mbinu mpya tena.
Hama sio sababu ya ccm..sababu maisha yamekushinda..dili zenu zote zimefungwa huna pa kuhemea...nakushauri basi nenda hata ukaanzishe kilimo, kule utapata mbogamboga na mazao ya chakula chako na watoto jombaa..unalolisubiri la kupiga hela halitakuja tena..fanya biashara halali lipa na kodi forodhani..fullstopYaani nihame Nchi yangu kwa Sababu ya CCM, Haitawahi kutokea, kwanza hawa watu sasa hivi wako mwisho mwisho tu wa uhai wao, I believe , withing 10 years from now, hakuna kitu kitaitwa CCM Nchi hii,
Mkalipe kwanza korosho za watu mliowatia umasikini kwa upumbavu wenu huko mtwara ndiyo uje na upupu wako hapa, mmechukua korosho za watu tangu mwezi wa Saba mwaka Jana na mpaka sasa hamjawalipa, halafu bado mna mishipa ya kuja kuandika upuuzi hapa JF , hamna aibu, Mawakala wa Shetani Nyie.Mmefilisika sera kichwani sasa hivi mnatapatapa hamna pa kushika...biashara zenu za madili na utapeli zimefilisika..maisha yamekuwa magumu kilichobaki ndio mnaharahara humu mitandaoni..hahahaha..
Wale wavaa milegezo , kula kulala na wanaowekwa vinyumba na vibibi vizee tena vinavyoumwa Kama akina nyie ndio watakaoungaa Mkono juhudi za ujinga na za kudhulumu watu. Mkalipe kwanza korosho za wakulima masikini mnaowapiga danadana mwaka sasa. Majambazi wakubwaViongozi wenu vijana shupavu wote wameenda ccm kumssupport Magufuli na serikali yake..sikuelewi hoja yako inajikita kwenye utafiti upi...endeleeni kutapatapa kwa sababu hamna sera kwa sasa..hata kiongozi wenu wa safari ya matumaini karudi nyumbani kumenoga...mmebaki na Mr Zero tu..mnatia aibu sana