CCM aibu hii ya Arusha ibebeni wenyewe Mimi simo

CCM aibu hii ya Arusha ibebeni wenyewe Mimi simo

Dalili ya mvua ni mawingu! Siku zote ufalme huanza kufa 'from within' misukumo ya nje huja kumalizia tu kazi.

Sitoshangaa chama kikimfia mkononi Yohana
 
Wewe ni mnafiki. Polepole ni jiniasi anakuzidi sana kiakili na weledi. CCM ipo pahala pazuri sana kuliko kipindi chochote kwa sasa. Kila mwananchi anaelewa umuhimu wa CCM ya sasa. Yaani huku kitaa ni chereko chereko!
Ccm iko kwenye nn vile[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Mtu hata kama humpendi Gambo au Mnyeti huwezi taka mtu ajiuzulu kwa tuhuma za vi photoshop vya kutengeneza kwenye vyoo vya ofisi za chadema Arusha.Ushahidi wa mahakama au takukuru ndio waweza mtia hatiani mtu.Watu wanasema walipewa mamilioni !!! Na watu wengine humu wanasema ndiyo walipewa!! Uliziona hizo pesa wakipewa? Hata hivyo viphoto shop koko vya Lema na Nassari havionyeshi.Watu wanadakia humu walipewa!!!! Gambo and Munyeti are there to stay.Hatoki mtu ng`ooo.CCM tuachieni wenyewe wengine akina team lowasa mlio chadema endeleeni na yenu.Kama mnataka kurudi CCm rudini tu lakini mambo ya photoshop za chadema waacheni wenyewe.ya ngoswe mwachie ngoswe.
Unasema Photoshop hali ya kuwa Mnyeti mwenyewe amekubali kuwa ni ya kweli. Ama kweli wewe ni mpumbavu usiyejielewa.
 
Werevu ni nguzo muhimu sana kwa kila kitu ufanyacho, haijalishi wewe una Mamlaka yapi, ila bila Hekima wewe ni namna kitu. Mfalme Suleiman aliomba Hekima kwa mwenyezi Mungu sababu alijua bila Hekima huwezi kuongoza kwa haki na usawa.
 
Wewe ni mnafiki. Polepole ni jiniasi anakuzidi sana kiakili na weledi. CCM ipo pahala pazuri sana kuliko kipindi chochote kwa sasa. Kila mwananchi anaelewa umuhimu wa CCM ya sasa. Yaani huku kitaa ni chereko chereko!
Kwa taarifa yako genius wa kijamaa hawezi pima hata na taahira wa kibepari. The less ujamaa kichwani the more smart your in crucial situations. Ukiona hivyo ujue polepole ndie shida, ukiona hata mwana ccm wa kawaida najiuliza maswali ya msingi ktk issue fulani ujue kimenuka.YAANI ANASEMA HII MBAYA.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pa moto hapa akikaa ataungua kalio
Cocochannel where are you? I miss you so much, come baby, come please.
Today Jf is so cool, I'm here waiting for you baby mwaaah.
 
CCM ina taratibu zake za kuwatambua na kuwashughulikia wala Rushwa na watoa Rushwa...baada ya kuchunguza na kubaini.

Kama huamini hilo muulize yuke mgombea wenu wa Urais atakueleza

Mtaje ni nani. Kama ni Lowassa hajawahi kuhukumiwa na ccm zaidi ya kukosa nafasi ya kuwa mgombea wa ccm. Halafu ukumbuke wagombea walikuwa wengi na aliyepita ni mmoja. Huko ccm aliondoka mwenyewe na sio kwa kufukuzwa kama unavyotaka kupotosha.
 
CCM ina taratibu zake za kuwatambua na kuwashughulikia wala Rushwa na watoa Rushwa...baada ya kuchunguza na kubaini.

Kama huamini hilo muulize yuke mgombea wenu wa Urais atakueleza
Kosa la jinai halijui kam ni issue yako na mkeo na watoto wako.Hii ni jinai. Mbaya zaidi inahusisha chama pinzani .Sio rahisi shahidi wote kuwa upande mmoja kinyume na jamhuri.
 
Aibu gani? Kushawishi ni aibu? Mbona Lissu alimshiwishi Nape kuhama na kuingia chadema? Lobing hipo kite.
 
07fe070f23a06d75f89bf5da59272aac.jpg
Shujaa wa kudaka Bomu. Ni kichaa. "Mwl Nyerere 2 1979 CTU" Alipotembelea wanafunzi wakijihanda kwenda VITA UGANDA. akawahasa wawe watulivu wakiwa vitani. Wajichunge. Mambo ya kutaka kusifiwa waache. Na hili la sasa ni kama hilo. Kijufanya wee ni jasiri. Auogopi serekali au mamlaka iliyopo ni sawa na kudaka Bomu hili kupa sifa.
 
Ni ngumu mtu kwa akili zake za kawaida kuamua kuhamia CCM,.... Na kwanini Arusha tu, kwani madiwani wa Kusini na kanda ya Kati hawajaoa hiko kinachofanywa na JPM, kwanini Arusha tu!?
CCM inachosha mkuu. Hadi kuna watu walijitoa mhanga kuipigania wewe wakiamini ipo siku itakuwa nzuri na mfano.Ila njiani wengu WAKAPATA CLICK KTK KICHWA NA KUJIULIZA NAFANYA NINI ZAIDI YA KUJILISHA UJINGA HAPA.Ndio km hawa jamaa .huyu jamaa sikuwahi muona km ana huruma na wananchi ila andiko lake makini kajipanga hata ktk uandishi.
 
Chadema aisee aaah hapana, inawezekana hata hao FBI mnaowataka ni geresha tu eeh
 
Aibu gani? Kushawishi ni aibu? Mbona Lissu alimshiwishi Nape kuhama na kuingia chadema? Lobing hipo kite.
Umeruka mstari.KUIBA HELA YA UMMA, KUVUNJA SIO TUU SHERIA ILA KATIBA KWA KUTOA AJIRA KWA MISINGI YA ITIKADI ZA KISIASA. Hivi hata kazi za umma vilaza wa ccm wanadhani ni zao za kuhongea?Ndio maana jamaa ni jinga kabisa ktk huo mjadala. dogo kaliweza kalipandishia dau, likaanz ajiuma uma midomo halijui lipate wapi pesa.
 
Back
Top Bottom