Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 949
- 2,865
CCM 2015-2020 ilivyovutia na kupendwa zaidi na Watanzania wengi.
1) Rais alishinda Uchaguzi 2020 kwa 84.4% haijawahi kutokea.
2) Wabunge na madiwani wote walishida Uchaguzi 2020 isipokuwa wachache na haijawahi tokea mpaka kuchukua jimbo la Mbowe.
3) Uchaguzi wa serikali za mitaa CCM ilishida na haijawahi tokea.
4) Uchaguzi 2020 uliendeshwa kitaalam na haijawahi kufanyika hivyo.
5) Humphrey Polepole alionesha umahiri mkubwa sana kuandaa mikutano yote ya JPM na haijawahi tokea.
6) Humphrey Polepole aliandaa tamasha kubwa la wasanii wa CCM kutambulisha nyimbo za CCM na haijawahi tokea kabla.
7) CCM iliungwa mkono na wasanii karibia wote na haijawahi tokea.
8) Dr Bashiru Ally alirudisha mali za CCM zilizoporwa na CCM kuwa chama kinachojitegemea kiuchumi na sio ccm omba omba kwa matajiri.
9) CCM ilirudi kwa wananchi na sio ile CCM ya watu wachache maarufu “CCM ina wenyewe” je tunarudi huko?
10) Watu waliogopa CCM na sio CCM kuogopa watu wachache wanaoimiliki.
11) Vijana wengi walipewa uongozi bila upendeleo na kuonyesha umahiri mkubwa.
12) Ilani ya CCM 2015 – 2020 ilitekelezwa kwa mafanikio makubwa haijawahi tokea toka uhuru.
13) CCM ilikuwa ya watu wote hasa wanyonge na sio CCM ya watu fulani na upendeleo.
14) CCM ilipendwa na watanzania wengi sana. Je, Watanzania watabaki na mapenzi hayo kwa CCM?
15) Chaguzi za CCM hazikuwa na rushwa wala makundi na hii kusaidia vijana wengi sana kugombea ubunge na udiwani.
Watanzania wengi kwa sasa wanajua ni CCM ipi wanayoitaka, hawadanganyiki. Baba kipenzi JPM kashawaonyesha CCM bora ya kisasa inavyopaswa kuwa.
Je, CCM ina uhakika na kuamini tuna ushindi huko tuendako?
1) Rais alishinda Uchaguzi 2020 kwa 84.4% haijawahi kutokea.
2) Wabunge na madiwani wote walishida Uchaguzi 2020 isipokuwa wachache na haijawahi tokea mpaka kuchukua jimbo la Mbowe.
3) Uchaguzi wa serikali za mitaa CCM ilishida na haijawahi tokea.
4) Uchaguzi 2020 uliendeshwa kitaalam na haijawahi kufanyika hivyo.
5) Humphrey Polepole alionesha umahiri mkubwa sana kuandaa mikutano yote ya JPM na haijawahi tokea.
6) Humphrey Polepole aliandaa tamasha kubwa la wasanii wa CCM kutambulisha nyimbo za CCM na haijawahi tokea kabla.
7) CCM iliungwa mkono na wasanii karibia wote na haijawahi tokea.
8) Dr Bashiru Ally alirudisha mali za CCM zilizoporwa na CCM kuwa chama kinachojitegemea kiuchumi na sio ccm omba omba kwa matajiri.
9) CCM ilirudi kwa wananchi na sio ile CCM ya watu wachache maarufu “CCM ina wenyewe” je tunarudi huko?
10) Watu waliogopa CCM na sio CCM kuogopa watu wachache wanaoimiliki.
11) Vijana wengi walipewa uongozi bila upendeleo na kuonyesha umahiri mkubwa.
12) Ilani ya CCM 2015 – 2020 ilitekelezwa kwa mafanikio makubwa haijawahi tokea toka uhuru.
13) CCM ilikuwa ya watu wote hasa wanyonge na sio CCM ya watu fulani na upendeleo.
14) CCM ilipendwa na watanzania wengi sana. Je, Watanzania watabaki na mapenzi hayo kwa CCM?
15) Chaguzi za CCM hazikuwa na rushwa wala makundi na hii kusaidia vijana wengi sana kugombea ubunge na udiwani.
Watanzania wengi kwa sasa wanajua ni CCM ipi wanayoitaka, hawadanganyiki. Baba kipenzi JPM kashawaonyesha CCM bora ya kisasa inavyopaswa kuwa.
Je, CCM ina uhakika na kuamini tuna ushindi huko tuendako?