@Mchambuzi
Hiyo haraka haraka na pupa kwa vyama vya upinzani ni kweli..
Wasomi wetu ni watu wenye kukataa tamaa mapema katika mapambano..mfano wale waliokuwa NCCR
Ndio maana mimi nawahusudu CUF kwani ni wavumilivu sana na wanaenda taratibu na kujenga taasisi yenye msimamo,
Sijui siku kina Lipumba wakikaa pembeni CUF itakuwaje? lakini hadi sasa ndio chama kinachojenga taasisi bila pupa
Sera zao ziko clear na wanasimamia hoja zinazoeleweka...chadema mmmm! (too much fantasy)
Hiyo haraka haraka na pupa kwa vyama vya upinzani ni kweli..
Wasomi wetu ni watu wenye kukataa tamaa mapema katika mapambano..mfano wale waliokuwa NCCR
Ndio maana mimi nawahusudu CUF kwani ni wavumilivu sana na wanaenda taratibu na kujenga taasisi yenye msimamo,
Sijui siku kina Lipumba wakikaa pembeni CUF itakuwaje? lakini hadi sasa ndio chama kinachojenga taasisi bila pupa
Sera zao ziko clear na wanasimamia hoja zinazoeleweka...chadema mmmm! (too much fantasy)