CCK yaingia Arusha kwa kishindo

CCK yaingia Arusha kwa kishindo

tumeichoka CDM,issue ya katiba ndo ilonifanya nikate tamaa na hawa wafanyabiashara wa siasa wa CDM,kwenda ikulu wakahongwa na kurudi bungeni kupitisha madudu yale waloyapinga mwanzo???? nini hii?? afadhali CCK ije arusha

Umetokea msikiti gani weye?
 
hongera cck tunataka kuona vijana wanapata ajira na maendeleo kwaujumla
 
tumeichoka CDM,issue ya katiba ndo ilonifanya nikate tamaa na hawa wafanyabiashara wa siasa wa CDM,kwenda ikulu wakahongwa na kurudi bungeni kupitisha madudu yale waloyapinga mwanzo???? nini hii?? afadhali CCK ije arusha

sijui upeo na uelewa wako wa mambo haya ya siasa lakini nakuomba siku nyingine usichangie kitu ambacho hauna uelewa nacho.
 
tumeichoka CDM,issue ya katiba ndo ilonifanya nikate tamaa na hawa wafanyabiashara wa siasa wa CDM,kwenda ikulu wakahongwa na kurudi bungeni kupitisha madudu yale waloyapinga mwanzo???? nini hii?? afadhali CCK ije arusha
Inaonekana wewe ndo Mtoa mada. Kila cck ikijitokeza ukumbini na wewe lazima uandike Mara moja.
Kwa mini hamuwatambulishi viongoza wenu mpaka Leo???? Natia SANA mash aka na Chama chenu. Kuna usiri gain hapo.??????? Mwanzo wenu Kama hamtarekebisha mtaishia kukiua Chama. Angelia cck wacko wapi!!!??? Usiri usiri tu
 
CCK kama cha cha siasa wana haki ya kuweka mgombea Arumeru, wangekaa meza moja na Chadema waweke mgombea mmoja, kila mmoja akiingia kivyake watagawa kura na hatimaye CCM wanashinda.
Hapo umenena mkuu!
 
CCK kama cha cha siasa wana haki ya kuweka mgombea Arumeru, wangekaa meza moja na Chadema waweke mgombea mmoja, kila mmoja akiingia kivyake watagawa kura na hatimaye CCM wanashinda.

Mmhhh haujaiba psw ya ritz wewe?
 
Tunakaribisha watazamaji kutoka pande zote za dunia.
Karibuni mjionee CCM inavyopotezwa na CHADEMA.
 
Kijana mdogo kaingia kwenye mapambano.

Kaka wameshindwa, nakuja kuonyesha kazi.

Sina mafungamano na vyama vingine, nayaweza tu.

Labda nitashirikiana na CCM, kwani CDM ni wao tu.

Karibu kijana, kumbuka badiliko la kweli lipo kwa wananchi. Na ningependa nijue rekodi yenu mahali popote, kwa vile mnajinadi kama chama cha kijamii. Mpo kwenye jamii yoyote?
 
CCK kama cha cha siasa wana haki ya kuweka mgombea Arumeru, wangekaa meza moja na Chadema waweke mgombea mmoja, kila mmoja akiingia kivyake watagawa kura na hatimaye CCM wanashinda.

kugawa kura? Inanana ccm kura zao zinajulikana?
 
tumeichoka CDM,issue ya katiba ndo ilonifanya nikate tamaa na hawa wafanyabiashara wa siasa wa CDM,kwenda ikulu wakahongwa na kurudi bungeni kupitisha madudu yale waloyapinga mwanzo???? nini hii?? afadhali CCK ije arusha

Ingekuwa vyema ufanye research ndipo ukae nyuma ya keyboard yako kuliko kuhangaisha vidole kutaipu husichokuwa na uhakika nacho. Ningekushauri kutowaangusha ma-antie wengine kwa kuendelea kutoa povu lisilo na maana.
 
Baada ya kukamilisha safu ya uongozi wa mkoa wa Arusha,CCK inatangaza rasmi kuwa tunaingia katika uchaguzi mdogo wa Arumeru kwa ajili ya kuchukua jimbo.

Isije ikawa ni mbinu ya magamba kupunguza nguvu za CDM. CDM fanyeni utafiti juu ya hilo
 
Back
Top Bottom