CCK katika harakati za usajili wa kudumu

Hatima ya mambo kwa hapa huwa tunayo sisi wapiga kura, tumuweke nani atuongoze na kutawala lakin kwa7bu ya rushwa na uchakachuaji hujikuta 2po ktk cntofahamu mwanzo mwisho. hakuna ccj, cdm, cck na wengineo wa style kama hizi ni usanii 2 hawana jipya, mwananchi think big
 
I am curious to know if Mr Six and Nape are also among the founder members of this part. Is the coctail going to be the same in the new bottle?

Kina Sitta na Nape hawahusiki na hawawezi kuhusika na chama hiki. Wote hawa walikuwa na nafasi katika CCJ wakashindwa. CCK ni zao jipya kabisa. Kumbuka tayari ilikuwa na usajili wa muda.
 
hivi chama kikianza na vifupisho vya CC ndio huwa na nguvu sana nji hii....
Kweli hii ndio siasa bomozi.
Kwa kiasi kikubwa inakuwa mtaji kwa yule CC Baba!
Cjui na cdhani kama kweli ukombozi utaletwa na haka ka CC.
YANGU MAICHO...
 
Kina Sitta na Nape hawahusiki na hawawezi kuhusika na chama hiki. Wote hawa walikuwa na nafasi katika CCJ wakashindwa. CCK ni zao jipya kabisa. Kumbuka tayari ilikuwa na usajili wa muda.

yamekushinda CCJ umeanzisha CCK? magwanda vipi, wanakutosa? au umelistukia shirika binafsi?
 
Mbona na wewe unarudia ugonjwa uleule! kama CCK niharakati za vijana wa vyuo vikuu sasa sisi tusiosoma tutawaunga mkono kwa sababu zipi? naona mmeshashindwa kabla ya kuanza.
 

Nimesikia wanachama wake wengine ni kutoka magamba.......ni kweli?
 
CCJ ilikuwa ya six, nepi sijui na nani vile
sitashangaa kusikia
CCK ni ya EL, RA na EC
teh teh teh teh! Hivi vyama vinanivunja mbavu kweli

Lowasa hana haja ya kuanzisha chama Mkuu, hao wote unaowafikiria wataondoka na kumwachia CCM, subiri kikao cha NEC kijacho ndio utajuwa kuwa EL, AC, RA na JMK walichangia damu kwa yamini huku wakila nyama mbichi ya ngombe mzima ambaye hajachinjwa! ngombe aliombewa duwa akalala chini wakawa wanakata nyama kila mmoja kwa kipande chake kama yamini ya kulindana hadi ahera.
 
Hamna jipya ni magamba nyienyie mnakuja na mbinu mbalimbali ni kwamba waTZ si wajinga tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…