mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
kwani hko CCM hakuna mshiko?simple mindedImetoka CCJ imeingia CCK! mnanshangaza! naona vyama sasa vinachipuwa kama nini? kuna mshiko nini? mnanshangaza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani hko CCM hakuna mshiko?simple mindedImetoka CCJ imeingia CCK! mnanshangaza! naona vyama sasa vinachipuwa kama nini? kuna mshiko nini? mnanshangaza!
I am curious to know if Mr Six and Nape are also among the founder members of this part. Is the coctail going to be the same in the new bottle?
Kina Sitta na Nape hawahusiki na hawawezi kuhusika na chama hiki. Wote hawa walikuwa na nafasi katika CCJ wakashindwa. CCK ni zao jipya kabisa. Kumbuka tayari ilikuwa na usajili wa muda.
Kina Sitta na Nape hawahusiki na hawawezi kuhusika na chama hiki. Wote hawa walikuwa na nafasi katika CCJ wakashindwa. CCK ni zao jipya kabisa. Kumbuka tayari ilikuwa na usajili wa muda.
Ngoja na mimi nianzishe changu CCN
Mbona na wewe unarudia ugonjwa uleule! kama CCK niharakati za vijana wa vyuo vikuu sasa sisi tusiosoma tutawaunga mkono kwa sababu zipi? naona mmeshashindwa kabla ya kuanza.usijifanye kipofu kaka hakuna kitu kama six wala EL AND EC,chama cha sita na akina nape kilikuwa CCJ bali cck ni harakati za vijana wa vyuo vikuu ndani na nje ya tanzania waliochoshwa na siasa taka za CDM NA CCM BILA KUWASAHAU CUF NA VIBARAKA WAO AKINA NCCR,TLP,UDP,UPDP,TADEA,NRA,PPT MAENDELEO NA VIBARAKA WENGINE NSIOWAKUMBUKA MAJINA,karibu tuungane kulikomboa taifa bila hisia za udini,ukabila na ukanda!
Ngoja na mimi nianzishe changu CCN
Baada CCL....itaelekea nyumbani....CCM.Najisikia kucheka....
Ikitoka CCK itakuwa CCL.....
HAYA wandugu,kile chama makini chenye viongozi vijana wenye mtazamo wa kuikwamua nchi katika matatizo magumu sasa kipo iringa pamoja na Ruvuma katika harakati za kuhakiki wanachama kuelekea usajili wa kudumu.
ratiba ya zoezi zima ni kama ifuatavyo:
Ruvuma zoezi linafanyika leo tarehe 25/08/2011
Musoma zoezi litafanyika tarehe 5/9/2011
pemba kaskazini zoezi litafanyika tarehe 12/9/2011
unguja kaskazini itakuwa tarehe 15/9/2011
shime vijana wa kitanzania tufanye harakati za ukombozi kumuenzi baba wa taifa hili
Ahaa! Kumbe kinachokuweka CCM ni fisadi Kikwete? Now we know!Nipe sera, naweza kuchomoka CCM, maana Kikwete akiondoka 2015 na CCM itakuwa haina raha tena!
CCJ ilikuwa ya six, nepi sijui na nani vile
sitashangaa kusikia
CCK ni ya EL, RA na EC
teh teh teh teh! Hivi vyama vinanivunja mbavu kweli