The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Sijui kuna nini kati ya CCJ na Mwanakijiji. Maana debe analokipigia si la kawaida.
Hoja ya kwamba CCJ chama cha maana (serious) kwa sababu kimejulikana kwa muda mfupi ina utata. Kwani zilianza rumours kwamba baadhi ya vigogo wa CCM ndio waanzilishi wa CCJ. Ni hilo ndilo lililoipandisha "chati feki" CCJ. Zaidi ya huu udaku, hamna la maana. Hata wanapoulizwa viongozi wengine wa siasa juu ya nguvu ya CCJ, msingi wake ni hizo tetesi za vigogo hewa wa CCM.
Bado nasimama pale pale: ni waganga njaa. It is hoax.
Hoja ya kwamba CCJ chama cha maana (serious) kwa sababu kimejulikana kwa muda mfupi ina utata. Kwani zilianza rumours kwamba baadhi ya vigogo wa CCM ndio waanzilishi wa CCJ. Ni hilo ndilo lililoipandisha "chati feki" CCJ. Zaidi ya huu udaku, hamna la maana. Hata wanapoulizwa viongozi wengine wa siasa juu ya nguvu ya CCJ, msingi wake ni hizo tetesi za vigogo hewa wa CCM.
Bado nasimama pale pale: ni waganga njaa. It is hoax.