Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Tatizo mwanafalsafa..unazungumza kama unajua kilichowaliza ni nini. Unaona watu wanalia kwenye kabuli unafikiri wanamlilia Nyerere! Hawa nimeanza kuwapenda kwani they are doing all the good things I would have done kama ningeanzisha chama.. Wanajua wanachokitaka, wanafalsafa inayowaongoza na kinyume na wengi wanavyofikiria hawahitaji kigogo kuwa nyuma yao! Ni ajenda inayoelewekak na ambayo wanajua itawavutia Watanzania.
Uongozi ni uwezo mara zote siyo ahadi, siyo kutoa misaada, siyo cheap popularity ni kuweza kuchukua msimamo na watu wakajua msimamo huo. CCJ (SisiJUU).. ni chama ambacho kinafuata hatua zote muhimu za kuongoza mapambano ya kifikra kwenye sanduku la kura..
Nakumbuka kisa cha kuteuliwa kwa Daudi kuwa Mfalme... Alipoenda Nabii Samwel kwenda kuwapaka mafuta watoto wa Yesse. Wakaletwa watoto saba wa kiume (vyama vilivyokomaa na vyenye uzoefu na majina makubwa).. Hadi alipokuwa tayari kumpaka mmoja wao mafuta BWANA akamwambia siyo "HUYU". Kila mmoja aliamini kabisa mfalme atakuwa ni mmoja wa hawa wazoefu na wanaosifiwa kijijini..
Hadi pale Samweli akashangaa mwishoa akamuuliza Yesse "Yesse watoto wako wote ni hawa". Ndipo Yesse kiuvivu akasema "yeah kapo kamoja kanachunga ng'ombe huko sidhani kama hako kanaweza kuwa kafalme". Samweli akamwambie "mlete".
Sasa.. tunaweza kucount watu out kwa sababu they don't fit in our own concept ya nani anaweza kutuongoza. Tunawapima na kuwaangalia majina yao wanajulikana vipi na kwa namna gani na wasiporidhisha tunasema hawa haiwezekani. Tungependa sana atakayetuongoza awe kutoka kwa wale Saba!!
Well.. friends.. Here comes David!
Mmh hapa umenoa Mwanakijiji...ndio makuburini?do you think Nyerere anawasikia au anawaunga mkono kwa kuanzisha hicho chama chao..Je is it true kwamba wanadhamira ya dhati na kama ni ndio why now kwani sio mwaka jana,juzi au mwakani?kama wanafuata nyayo za Mwalimu,mbona waanzishaji wenyewe hawajitokezi front?Kwenda kwenye Kaburi la mwalimu ni kujitia mkosi tu...Hivi mfu hasikii mpaka uende kwenye kaburi lake?unawatetea eti uongozi sio cheap popularity hivi kitendo cha kwenda kwenye kaburi la Mwl pamoja na media sio kutafuta cheap popularity?Jipange tena mkuu...ukija na chama chako halafu ukaenda kwenye Kaburi la Mwl nitakucheka sana.Umekosea kabisa kutoa mfano wa Daudi na kisa cha CCJ...hatudanganyiki.