Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,570
- 19,442
Inawezekana kweli uongozi wa muda wa CCJ ni dhaifu kutokana na kukosa uzoefu wa kisiasa. Hata hivyo, binafsi hupenda kuwaamini sana watu wa aina hiyo ambao siyo professional politicians, at least in the short term.
Kuhusu kuwa na wanachama mamluki, hilo ni tatizo linalowezekana, na njia pekee ya kulitatua na kuleta wanachama zaidi ya hao 200 ili kunyutralaize effect ya mamluki.
Kuhusu kuwa na wanachama mamluki, hilo ni tatizo linalowezekana, na njia pekee ya kulitatua na kuleta wanachama zaidi ya hao 200 ili kunyutralaize effect ya mamluki.