Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,243
- 44,520
- Thread starter
-
- #321
Kama uko dar unaweza kwenda Lumumba! ila uwe mwangalifu, wewe uliza wapiganaji ukioneshwa basi unamuuliza kadi, wanatembea nazo ili watakapopata tu usajiri waweze kuanza Charm Offensive na kutufundisha itikadi ya ujamaa (mlengo wa kulia) na kuchukua nchi kwa sababu chadema na vyama vin ginene havina itikadi -Did I say that?
Mkuu Mkjj, All the best na hicho chama chenu kipya na wengine wenye plan ya kuanzisha vyma vingine vipya mpaka vifike 100 all the best na ujinga na upumbavu uliokubuhu wa mgombea binafsi ili kwenye uchaguzi tuwe na wagombea wa urais kama 100 na nyie all the best.
Mimi huku kwetu Moshi ndani ndani naona kabisa jinsi CCM wanavyopiga magoli kilaini sababu tu ya watu kujifanya mambo ya itikadi, lakini mkoa wetu huu kuna wapinzani walishinda kwa gia moja tu ya ANTI CCM.
This is my last topic on this futile attempt ya kuanzisha CCJ eti kama chama mbadala.
Obama alishinda kwa Gear moja tu CHANGE WE CAN BELIEVE IN. Hii ndio nucleus ya ushindi wake, CHANGE FROM Status Quo hata kama na yeye ni status Quo, lakini gear ilikua CHANGE.
Zanzibar ni mfano hai kabisa wa jinsi ya kuishinda CCM. Zanzibar issue ni very simple CCM or not CCM (CUF). Kama wajanja( Wajuaji) wa bara na vyama utitiri wangeingia Zanzibar wala usingesikia possibility ya serikali ya mseto, sababu CCM na 48% wangeshinda kwani hiyo 52% wanayopata CUF ingegawanywa kwenye huo utitiri wa vyama.
Sasa Bongo na magenius wetu wanaotaka vyama vipya kila siku, hata ukileta gear ya change mkagawana kura vyama 10+, CCM Si bado mshindi.
Anyways, nitaumwa kichwa bure acha na mimi nifanye mipango ya kuanzisha chama kipya kwani ndio fashion bongo. Kila mtu mjuaji na mimi nisilale nyuma lazima niingie front na kuanzisha chama kipya.
Wanaotaka kuingia madarakani ni lazima waje na wawe na sera na mipango inayoeleweka. Siamini kabisa katika muungano wa kutaka CCM iondoke madarakni bila wanaotaka kuiondoa kujulikana mipango yao nini kwa taifa na wataifanyaje? Wanasema the devil is in the detail. Obama hakusema tumuondoe tu Bush halafu tutajua cha kufanya mbele ya safari, Wamarekani wangemuona mzugaji. Aliwaambia kabisa atakachofanya na atakifanya vipi na kwa muda gani. Huo ndio msingi wa kuiondoa serikali iliyoko madarakani, siyo kusema tuiondoe tu alimradi turuke ruke mitaani kushangilia "CCM imeng'oka".. sasa mumuue Simba halafu mkaribishe CHui!? Well.. mtashangilia mmeua simba, lakini mtakuwa mmeondoa tatizo?
Mzee Mwanakijiji,
Mkuu nilijiunga na Chadema kwa sababu walikuwa mrengo wa kati kulia... Leo nawasikia nyie CCJ imekuja na mrengo wa Kulia...Mmmhhhhh! lakini maadam Chadema believe we need to REFORM the Government. I guess I will support them, will remain a Conservative til then!
Nakuomba pitia kwa makini kitu hiki HAPA
Kila la kheri mkuu..... tulikuwepo!
true.. Chadema wako kati-kulia.. Tanzania naamini kabisa inahitaji a far right ideology kwa muda fulani. Centralist hawawezi kuipiku CCM, wataendelea kuwa wasindikizaji tu.
And what is far right in Tanzania aspects? What are the interests and philosophical stands of Tanzanian's Far right like the visioned CCJ? So who is the enemy to blame for all ''our miseries''? Muhindi? Muarabu? Mswahili?Mkaburu?Mchaga?Muangaza?Mpemba?Muislamu?Mkristo wa mrengo wa kati?M-CCM?Mwanamtandao? ......
Tuamsheni tuliolala
Omarilyas
Mkuu katika yote haya (Ujinga,Maradhi,Umaskini na UFISADI) hakuna hata moja CCM haija yaainisha. Na kwa uhakika zaidi JK anapewa sifa na vyombo vya madola kwa kuweka mkakati kupambana na Ufisadi. Yote yapo vitabuni na sheria zimetungwa. Mambo ndio mabaya zaidi!saad!... maadui tuliwaanisha mapema; Ujinga, Maradhi, Umaskini na sasa tunaye Ufisadi..!!! Ukishaanza kufikiria maadui kwa misingi ya "watu" kama unavyoonesha basi ni vigumu sana kuelewa falsafa hii. Kwa sababu utakuwa unajaribu kupambana na watu.
Mkuu katika yote haya (Ujinga,Maradhi,Umaskini na UFISADI) hakuna hata moja CCM haija yaainisha. Na kwa uhakika zaidi JK anapewa sifa na vyombo vya madola kwa kuweka mkakati kupambana na Ufisadi. Yote yapo vitabuni na sheria zimetungwa. Mambo ndio mabaya zaidi!
Kwa hiyo, bado tatizo letu sii Itikadi ila ni WATU wanaoshindwa kutekelezwa majukumu waliyopewa ktk kupambana na maadui hao..Hizi hadithi za Umaskini,Ujinga,maradhi tumezisikia toka tupate Uhuru...tumefika wapi ? -The fact remain we dealing with UONGOZI MBAYA..
Mzee Mwanakijiji,
Mkuu nilijiunga na Chadema kwa sababu walikuwa mrengo wa kati kulia... Leo nawasikia nyie CCJ imekuja na mrengo wa Kulia...Mmmhhhhh! lakini maadam Chadema believe we need to REFORM the Government. I guess I will support them, will remain a Conservative til then!
Nakuomba pitia kwa makini kitu hiki HAPA
Kila la kheri mkuu..... tulikuwepo!
Mkandara
MBona unaonekana kama umekata tamaa, huyu mwanakijiji siku zote ni mwanachama wa ccm na ndiyo anataka kuhama sasa pamoja na wapiganaj baada ya kupigwa bao na mtandao. Fuatilia ile topic ya mbowe kusaini cheque ndiyo utamjua.
Mzee Mwanakijiji,
Kina nani wanasema uko CCM au Chadema? madai yako hawa wote hawana Itikadi safi iweje wewe uwe vyama hivyo..na hata kama Ulikuwa CCM nadhani ilitokea kimakosa tu.....
Mimi nataka kujua M mwanakijiji, kabla alikuwa chama gani? Pia nasikia CCJ inatarajia kupokea wanachama wengi toka CCM, kama ni kweli, tutarajie uozo maaana hakuna kitakatifu kinachoweza kutoka CCM, wametufanyia ufisadi muda mrefu hivyo leo ndo washtuke wakati wenzao upinzani walishapigana vita vya kutosha. Na hao hao wana CCM walikuwa wanawakejeli kuwa wanawivu wa kushindwa.
Siku zote amekuwa ni mwanachama wa CCM(muulize pasco) labda sasa ndiyo anataka kuhama na wale wanajiita ni wapiganaji huku wananuka na wameukumbatia ufisadi miaka yote hii. Moja ya sifa ya chadema ni kule kuweza kuona mamluki. nilikuwa najiuliza kwa nini chadema wanamuacha huyu mpiganaji si wangempa hata kazi mojawapo? du jamaa ni smart