Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,357
- 8,966
Kwa pharmacy ntakukubalia ila kwa Nurse midwife ntakukatalia Hata ukija na ithibitisho wowote..na kama unao ulete
Biology, Chemistry or Physics
Kwa pharmacy ntakukubalia ila kwa Nurse midwife ntakukatalia Hata ukija na ithibitisho wowote..na kama unao ulete
Hujui hata maana ya In service ni nini mkuu?!View attachment 2790861
Biology, Chemistry or Physics
Asante kwa ushahidi na ndo nilichosema Kuwa PCB ni muhimu kama unataka kusoma Nursing ila kwa pharmacy ndo sikuwa na uhakika kama vyuo vyote vinahitaji PhyscisView attachment 2790861
Biology, Chemistry or Physics
Anajua na ndo maana kapost sidhani kama anaweza kupost kitu asichojuaHujui hata maana ya In service ni nini mkuu?!
Sasa hao si wale walio jiongeza wenyewe kwa techniques zao?Never say never.Kuna watu waliishia la saba na leo ni ma Dr .Nothing is impossible. Kuna mtu ninamfahamu alianzia Nurse assitant,akasoma RMA ,then akasoma CO then AMO then MD.
Hizo qualifications alizo post ni za wale wanafunzi walio ishia level 5 ndo wanaenda chuo kupata diploma.Anajua na ndo maana kapost sidhani kama anaweza kupost kitu asichojua
Hata Qualification za fresher pia ni hizo hizo za upande wa pili wa "and" hazibadiliki na ndo maana Guildline imetenganisha sifa ya kwanza na sifa ya pili...Hizo qualifications alizo post ni za wale wanafunzi walio ishia level 5 ndo wanaenda chuo kupata diploma.
Ndo maana wameandika level 5. Ja kwenye mabano In service
Diploma ya pharmacy unasoma bila physics. Lakini ikitokea ukataka kujiendeleza kusoma degree hata kama una GPA 5.0 bila physics ya olevel hutoboi.Vyuo vyote vya afya, diploma ya pharmacetuical science haihitaji physics ,ndio maana diploma ya afya yenye wanafunzi wengi ni hiyo pharmaceutical science maana wengi walifeli mitihani Yao ya physics na hakuna kozi ya afya wanayoweza kuomba mbali na pharmaceutical science.
Oooh,okay!Hata Qualification za fresher pia ni hizo hizo za upande wa pili wa "and" hazibadiliki na ndo maana Guildline imetenganisha sifa ya kwanza na sifa ya pili...
Sifa ya kwanza NTA L5
Na sifa ya pili ni ile iliyokuwezesha wewe kusoma NTA L5
Wewe nawe,mtoa maada nilishamjibu.Katika mijadala kuna wachangiaji wengi ,hapa nilikuwa ninamjibu mtu mwingine.Sasa hao si wale walio jiongeza wenyewe kwa techniques zao?
Mtoa maada anauliza kwa kufuata utaratibu wa kujiunga na vyuo vikuu. je,anaweza kupata hizo kozi alizo orodhesha?
Na siyo maswala ya kujiongeza mwenyewe binafsi.
Katika mijadala kuna wachangiaji wengi. Hapa nilikuwa namjibu mtu mwingine.Wewe nawe,mtoa maada nilishamjibu.Katika mijadala kuna wachangiaji wengi ,hapa nilikuwa ninamjibu mtu mwingine.
Samahani mkuu hivi environmental health science inatambulika kama kozi ya afya?Atasoma environmental health.
Mkuu mimi pia ni mhitimu wa CBG mwaka huu .Habari zenu Wana jukwaa nimatumaini yangu wote niwazima mimi nimemalizaa kidato Cha sita mwaka huu komb ya CBG nikiwa na ufaulu wa biology-C,Chemistry-C na Geography-C , ninampango wa kuaply chuo mwakani. Je, kwa ufaulu huo naweza kusoma course za afya katika vyuo vya Private course kama Radiology, Pharmacy, nursing, MD, n.k.
Naomba kuwasilisha
Kwani health maana yake nini?Samahani mkuu hivi environmental health science inatambulika kama kozi ya afya?
Aisee..!!Hapana kiongoz hii lazma usubirie ajira.
Ila ajira ni uhakika
Tukiwashauri some Physics mnatuona wanoko. Ona sasa!!Habari zenu Wana jukwaa nimatumaini yangu wote niwazima mimi nimemalizaa kidato Cha sita mwaka huu komb ya CBG nikiwa na ufaulu wa biology-C,Chemistry-C na Geography-C , ninampango wa kuaply chuo mwakani. Je, kwa ufaulu huo naweza kusoma course za afya katika vyuo vya Private course kama Radiology, Pharmacy, nursing, MD, n.k.
Naomba kuwasilisha
Shukran broh. Wewe unachukua course gan..?Mkuu mimi pia ni mhitimu wa CBG mwaka huu .
According to TCU kozi ambazo zinahusiana na afya ambazo unaweza kusoma ni -Bsc in Environmental Health Science inayotolewa katika vyuo vya MUHAS,RUCU na SUZA
-Bsc in Clinical nutrition and dietetics inayotolewa katika chuo cha UDOM tu ,pamoja na
-Bsc in Food,nutrition and dietetics inayotolewa na chuo cha OUT vingne nimesahau
Nb:zote hizo zinahitaji uwe na C ya chemistry na naona wewe unayo
Hayo maswala ya kupotoshana sijui pharmacy ,nursing tuyaache jamani yalikuwaga enzi hizo .fatilia kwanza kabla ya kutoa mawazo yako
Bsc in environmental health science RUCUShukran broh. Wewe unachukua course gan..?
Hii ni kamba amini nakuchana.Bila PCB hizo kozi za afya ulizozitaja bongo husomi.
afya ila kumbuka pia kuna kozi kama Bsc in health information system ila hazitambuliki katika kada ya afyaKwani health maana yake nini?