Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 1,824
- 2,841
Mdogo wangu kapata matokeo ya DIVISION THREE ya pointi 22.Katika masomo yake amefeli somo la fizikia na hesabu (Physics and Mathematics) ana daraja "F",Kemia na baiologia(Chemistry and Biology) ana daraja "C" ,Masomo mengine ya Sanaa(Kiswahili, History, English Language, Geography) kafaulu pia.
Kwa matokeo hayo tajwa anaweza kuchaguliwa kozi za afya mf (Clinical Officer,Nursing,au Pharmacy) hasa katika vyuo vya government?
Naomba msaada wenu wanajamii🙏
Kwa matokeo hayo tajwa anaweza kuchaguliwa kozi za afya mf (Clinical Officer,Nursing,au Pharmacy) hasa katika vyuo vya government?
Naomba msaada wenu wanajamii🙏