CBG anaweza kusoma course za afya katika vyuo vya Private?

CBG anaweza kusoma course za afya katika vyuo vya Private?

Habari zenu Wana jukwaa nimatumaini yangu wote niwazima mimi nimemalizaa kidato Cha sita mwaka huu komb ya CBG nikiwa na ufaulu wa biology-C,Chemistry-C na Geography-C , ninampango wa kuaply chuo mwakani. Je, kwa ufaulu huo naweza kusoma course za afya katika vyuo vya Private course kama Radiology, Pharmacy, nursing, MD, n.k.

Naomba kuwasilisha
Nursing utasoma hata pharmacy pia....... ila md na radiology hapana
 
Acha hizo mkuu...unajua ni wangapi unawatoa relini kwa maandishi haya?(sijui ni kutojua aua hauko Updated?)

Unaju kozi za afya Diploma requirement ni O-level (yale masomo ya science) na huyu Diploma akiwa amesoma na Advance inakuwa added advantege towards kugombania nafasi. (Sifa atakuwa nazo za kutoka O-level, pia hiyo CBG ataiambatanisha kumuongezea sifa).

Mkuu kama haupo Updated usitumie maneno ya "Niko katika hii field ya Afya kwa muda mrefu sana" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] what a disappointed!
Mkuu diploma inajitgemea hata kama ulipiga one Advance ila ukija diploma ni unajitegemea unatumia Qualification za O level.
 
Na wewe bwana,mtu usome A level CBG halafu O level uwe haukusoma Physics ?Mwenzetu haujasoma Tanzania nini?
Mbona ipo hiyo mkuu,,kuna watu nawafahamu O level physics waliipiga chini na advance wakasoma CBG.
 
Never say never.Kuna watu waliishia la saba na leo ni ma Dr .Nothing is impossible. Kuna mtu ninamfahamu alianzia Nurse assitant,akasoma RMA ,then akasoma CO then AMO then MD.
Huo mfumo wa zamani ila kwasasa kila kitu kimebailika ukisoma field moja ya diploma huruhusiwi kuhamia ya pili kwa ngazi ya digrii afu ukatumia cheti tofauti na field husika.

Mfano Clinical officer hawezi soma Dental,Nurse,Pharmacy wala Radiology akiwa bongo. Hivyo hivyo kwa kozi zingine
 
Nursing utasoma hata pharmacy pia....... ila md na radiology hapana
Nasikitishwa sana na point hizi za wakubwa zangu

Acheni kupotosha vijana kwa mawazo yenu ya mwaka 90 ..elimu imebadilika labda hizo akasomee universities zisizotambulika na TCU
 
Habari zenu Wana jukwaa nimatumaini yangu wote niwazima mimi nimemalizaa kidato Cha sita mwaka huu komb ya CBG nikiwa na ufaulu wa biology-C,Chemistry-C na Geography-C , ninampango wa kuaply chuo mwakani. Je, kwa ufaulu huo naweza kusoma course za afya katika vyuo vya Private course kama Radiology, Pharmacy, nursing, MD, n.k.

Naomba kuwasilisha
HAPO UNATAKIWA UANZIE DIPLOMA (yaweza kuwa chuo chochote cha Serikali au Private)
HII NI KWA SABABU UFAULU WA PHYSICS NI COMPULSORY KWA COURSE ZA AFYA
 
Kapitie vyuo vyote ujilizishe!

pia waliopo kazini kusoma unesi/ukunga/uhuguzi wanaitaji Kemia na bailojia na uzoefu wa miaka miwili pamoja na barua ya muajiri

Hawaitaji kuwa na ufaulu katika somo la fizikia...!

Kajielimishe

Kwa kozi za Famasia na Medical Lab... na zile zingine health sijui nini hazina uhitaji wa Fizikia ili uweze kuzisoma
Sio kweli. Physics ni lazima iwe Yuko kazini au fresh from school. Kama Hana ufaulu huo lazima arudi darasani QT akatafute sifa.
 
Nasikitishwa sana na point hizi za wakubwa zangu

Acheni kupotosha vijana kwa mawazo yenu ya mwaka 90 ..elimu imebadilika labda hizo akasomee universities zisizotambulika na TCU
kaangalien miongozo ya nacte phermacy pysics haipo ni biology na chemistry tu
 
Back
Top Bottom