beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 523
- Thread starter
- #81
Umeota mbawa eehHaya bana..
Mi nilikuwa napita tu!!:flypig:
Umeota mbawa eehHaya bana..
Mi nilikuwa napita tu!!:flypig:
umeshinda jipigie makofiWe found love in the hopeless plc hahaaa looh ulimshushua haya hatmae unaona bint anakosa direction haya jipumzishe kwa huyu matatizo 99 kaongeze mengne mana wajiekewa mwenyewe. Mi naomba niwaache mda huu kesho naenda jumuiya asubuhi mie so g9t
umeshinda jipigie makofi
ndio maana yake, mentor ndo mzigo atamsumbua tu catherin
@Kaizer, I swear in the name of futari wifi aninyime, mie sijawahi hata kukonyezwa na Mentor. Sijui kidada chake kimepatia wapi idea hii.
Ushind ushind tuu kupiga makof mbwembwe. Za asubuhi 99 p
Mama Chanja eeh! Hapa kunani ?
Wajua leo meshinda nje ya mji , nasimamia shamba lile la vitunguu.
Ndo nakuta hapa vululuvululu !
Nini kinacho....
Beibe nasty umenistua ujue! Tatizo mi nataka wa peke yangu. Nikiangalia humu naona men karibia wote wana mtu zaidi ya mmoja. Mfano Kaizer yupo na dada gfsonwin ila macho juu juu kwa CUTE na kiroho kinastuka kwa Remmy. Erickb52 ana mijimama yake miwili. Bishanga nae amewajaza kwenye mohamed trans. Babu Asprin anatokeleza jf nzima, yaani kashindikanika mazima (cacico, BADILI TABIA, The secretary na Kongosho mashahidi hapa). Nikirudi kwa Mentor naona Meritta bado anampenda na sijajua kama King'asti wameachana kweli au wamepeana mapumziko. Najua sharing is caring ila mmmmm (.....). Nimeambiwa kama nataka wa peke yangu labda nimuumbe, so kwa sahv natafuta raw materials.
Kugandana ni zama za kale!
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Ivi mi ndo sielewi au ni vipi! Ina maana jamaa ni domo zege hadi dada mtu aamue kuchukua jukumu au?
Shobo utatapika yote mi nia yangu moja tuu ni wifi yangu mtarajiwaYaani hapo dada yake ana shobo uyo
Umefurahi sasa pangolin karibu hapa ndo ccSijawahi kukanyaga jukwaa hili
Beibe nasty umenistua ujue! Tatizo mi nataka wa peke yangu. Nikiangalia humu naona men karibia wote wana mtu zaidi ya mmoja. Mfano Kaizer yupo na dada gfsonwin ila macho juu juu kwa CUTE na kiroho kinastuka kwa Remmy. Erickb52 ana mijimama yake miwili. Bishanga nae amewajaza kwenye mohamed trans. Babu Asprin anatokeleza jf nzima, yaani kashindikanika mazima (cacico, BADILI TABIA, The secretary na Kongosho mashahidi hapa). Nikirudi kwa Mentor naona Meritta bado anampenda na sijajua kama King'asti wameachana kweli au wamepeana mapumziko. Najua sharing is caring ila mmmmm (.....). Nimeambiwa kama nataka wa peke yangu labda nimuumbe, so kwa sahv natafuta raw materials.
Nimekufurahia weweUmefurahi sasa pangolin karibu hapa ndo cc
Weeee hapa sio dse tafadhali hukohuko uishie upo single kwahiyo watakaje? Chondechonde we bwana weeMbona mi nipo single, cóme this way baby
Asante mwaegoNimekufurahia wewe
Asante mwaego