Meritta
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 1,303
- 292
Asante mkubwa 99 Problems alintenda akadhani sitopenda tena...
umependa au umetamani, unajua kupenda wewe!
Asante mkubwa 99 Problems alintenda akadhani sitopenda tena...
Namuonea huruma sana huyo catherin, maana bado hajakujua vizur maana we ndo Mentor hapana chezea wewe.
lol!ndo naanza kupata picha kumbe mtu anajichezea movie mwenyeweUhakika ninao muulize Mentor mwenyewe anajua kama najua kuwa yeye hana lolote
Mwambie huyo chezeiya wivu weye hahaahaah 50 zetu zinatupeleka mbiooowe una uhakika?mtu katoa dukuduku
Umbea tu Erick.
We Erickb52 hapo wa kuonewa huruma ni catherin na sio Mentor maana huyo Mentro ndo mzigo ma namuelewa haswaaa
Ongeza na la huyu uwe 102problems mana huyu kichomi etii nashukuru kama umeliona hili kua anajichezea movie heheee haya we take one step ahead mko wapii kuna kipaj hapalol!ndo naanza kupata picha kumbe mtu anajichezea movie mwenyewe
Ex wifi beib nasty wala unipi shida maana ukoo wenu nauelewa vilivyo, mnakuja wapole ila mkianza kucharuka wala hamfahi. zaid namuonea huruma catherin.Shem 52 hujiuliz wametajwa wangapi ktka changio la mentor ila huyu tu ndo anlalama au anataka tena my bb is real a great guy a gentleman who goes for the ladies ambao sio pasua kichwaaa upo apo ee ex wifi merrita theteh naomba nieleweke sina maana catherine mwisho wa siku ntakuandikia iv lahasha mama hawa binadamu bila haya hawaend kabisaaa
Umbea tu Erick.
umemuona wapi Bishanga
Hya wifi na ndo maana nilikutakia kazi njema, ila angalia unamwingiza mwanamke mwenzio kwenye moto mi sina wivu na mtu ila nasema ukweli.... yule ni mentor namjua mimi bhana.Catherine haya ndo majaribu tu na kumbuka majaribu ni mtaji wakuongeza iman hawa yaliwashinda wenyewe wala asikupe tabu mwayego kakaangu namjua mimi nakumbuka mtu akiacha pale ambapo bado anapahitaj huwa hakos neno mpenz sikia kilio cha kakaangu bana kwabza jina lake tuu ni taswira nzuri waipata he is real a mentor
Ex wifi beib nasty wala unipi shida maana ukoo wenu nauelewa vilivyo, mnakuja wapole ila mkianza kucharuka wala hamfahi. zaid namuonea huruma catherin.
Remmy futa kauli yako haraka huu ni uzalilishaji huyu ni shem wangu na hapaswi maneno kama hayo haya haraka futa kauli hiyo
Hya wifi na ndo maana nilikutakia kazi njema, ila angalia unamwingiza mwanamke mwenzio kwenye moto mi sina wivu na mtu ila nasema ukweli.... yule ni mentor namjua mimi bhana.
Mbona na yako ulionifanyia huyasemi au ndo unataka niseme mie, poa nakutakia maisha mema ila badilikaMeritta...unataka nn lakini..kuniumiza kote kule bado na mbivu yangu wataka ila...hutaki na mm nipendwe niwe mtu kwenye watu mamii??!hivi ndo ww ulokua ukintumia pm za mahaba day in day out..nikakukubali..ukaja niacha solemba slipway mamii..leo hii mm si mtu baada ya kuona nlisonga mbele..ntakudediketia wimbo sasa hivi..face drop..unaupata??! Erickb52, beibe nasty, shem Judgement gfsonwin nsaidieni mm..maana moyo unanichanganya mm...