Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 12,151
- 44,071
Weka taarifa kamili watu wajiongeze.40,000/= kifurushi unachoweza ona game zote mpaka UEFA
-Gharamaya ya kununua?
-Full set inajumuisha nini?
-Hiyo 40,000/= ni kila mwezi, mwaka?
-Ni ligi zipi au channel zipi za kijanja utaziona?
-Utaratibu wa kulipia ukoje? Wakala yupo wapi?