Can you love one woman??

Can you love one woman??

Ndioo ninaye ,nampenda zaidi ya nnavyompenda huyo ex.

Baelezee, baelezee wanatakiwa wajue kwamba mwanamke atampenda mtu mmoja kwa wakati mmoja, hawezi penda watu wawili au watatu wakati mmoja, atawapenda kwa nyakati tofauti.
 
Hakuna anayependa watu wawili at the same time!

Ukweli ni kwamba hata kama utaoa wake kumi, siku zote yupo mmoja umpendae kuliko wote.

Upendo haugawanywi!!

I may date 2 or 3 gals per time lakini yupo mmoja kati yao anabaki kuwa mpenzi wa nafsi yangu.

Refer kwa Mfalme Suleiman.
Haswaaa
 
Baelezee, baelezee wanatakiwa wajue kwamba mwanamke atampenda mtu mmoja kwa wakati mmoja, hawezi penda watu wawili au watatu wakati mmoja, atawapenda kwa nyakati tofauti.
Wewe unaweza?
 
Wewe unaweza?

Soma kwanza comment zangu juu kisha uniulize maswali ya nyongeza.
Sasa kama wanaume hatujaumbiwa kuwa na mwanamke mmoja, tumeumbiwa kuwa na wangapi iwe standard?
 
Huku hata bodaboda tutasema zimetengenezwa zibebe tani tatu.
Inatakiwa ipakie abiria mmoja, kuna watu wameshasema uwezo wake watu watatu hadi wanne, wanapakia mishkaki.

Daby tupe basi, kama sio mwanamke mmoja, ni kipi kiwango au idadi sahihi wanaume wa Afrika tumeumbiwa.

Mbwa mwenyewe haendi na kila anaekatiza mbele zake licha ya kuwa na binadamu wa aina hizo.
 
Hakuna anayependa watu wawili at the same time!

Ukweli ni kwamba hata kama utaoa wake kumi, siku zote yupo mmoja umpendae kuliko wote.

Upendo haugawanywi!!

I may date 2 or 3 gals per time lakini yupo mmoja kati yao anabaki kuwa mpenzi wa nafsi yangu.

Refer kwa Mfalme Suleiman.
Tamaa..uongo mwingi..
na unafiki!
Kama huna hivyo...ni ngumu wallahi!
 
Mume wa ndoa nitakubali aongeze wake kwa nafasi zilizobakia kuliko azini bora awaoe tu
Ubaya wa mambo ..siku hizi imekuwa sewe.. .
Wengi tu ana wake wanne na nyumba ndogo kumi na nne! shida ipo hapo...

Ukiendekeza moyo ....utaowa na kuacha kwa visababu vya kijinga sana ..kumbe ni tamaa tu inawapelekesha !
 
1. Unaweza kumpenda mtu lakini usiwe na mahusiano naye ...
2.Unaweza ukamtamani tu mtu na ukadhani unampenda au mnapendana kumbe sivyo...
3.Unaweza kuwa na mahusiano na mtu lakini penzi hakuna..kuna mahaba tu!
4. Unaweza ishi na mtu kwa sababu tu ya kupenda au kutamani alivyo navyo...mfano pesa..., mijimama... ma don!
5. Wengine wanapenda kwa vyote na wengine wala hawajui kama wanapenda au kutamani!

Kiufupi ukiendekeza moyo kwa tamaa...hata hayo mapenzi yatahama nafsini mwako... ndo wale kina hapendeki hata afanyweje!
 
Hii ni kweli, mwanaume ni ngumu sana kuwa na K' moja tuu, lazima uwe na michepuko kadhaa
 
Back
Top Bottom