Mkuu wajua ni kama tu Una gari yako Kali unaipenda na kila siku waenda nayo kazini,Wakali wa mambo wanasema ukiwa na mchepuko basi haumpendi mkeo mkuu.
Sasa unampendaje kama unamtafutia viwiko pembeni?
Wanaume wengi wanaweza kupenda mwanamke mmoja na kuwa na wanawake wengine nje wa kuhave fun nao.1980- 1990. Sijawahi kuyaangalia mapenzi kiumri.
likewise it's not my business....
Nilitaka kujua maoni yako.
Gracious.
Je mchumba ambaye hajakuoa?
Kuna tofauti gani?
Wanaume wa Kiafrica mpo wengi mno.Mmetoka katika jamii mbali mbali,mna mila na desturi mbali mbali.Mmepata mafunzo ya jamii tofauti na viwango vya elimu tofauti.Inaonekana hatujaelewana mzee baba.
Hatuongelei "kupenda"
Bali naongela kuwa katika mahusiano. Lakini tunaamini unapokuwa katika mahusiano na mtu basi umempenda-ndipo nikatumia neno kupenda.
Hii ni suala ambalo wizkid sio wa kwanza kulitaja, lipo linasemwa na linadhihirika saana.
Sasa.
Je ni kweli wanaume wa kiafrika hatujaumbiwa kuwa na mwanamke mmoja?
Kwako nimekuelewa unasema ni maamuzi ya mtu. Au sio!
Eternal soul mate.laachi ndiyo star gani mzee baba,
Nimeshasoma tayari haya nijibuNisaidie kusoma comments kisha nitakujibu.
Hahahaha.Mkuu wajua ni kama tu Una gari yako Kali unaipenda na kila siku waenda nayo kazini,
Sasa Weekend una mtoko wako wa matembezi unaamua tu kupanda Dala dala ili kubadili mazingira lakin haimaanish kua huipendi gari yako.
Huko michepukoni sometimes hua tunatafutaga tu kusikia story zingine zaidi ya zile tunazozisikiaga kilu siku home au kwa bed.
Wanaume wa Kiafrica mpo wengi mno.Mmetoka katika jamii mbali mbali,mna mila na desturi mbali mbali.Mmepata mafunzo ya jamii tofauti na viwango vya elimu tofauti.
Mna uchu tofauti,urefu tofauti,kimo tofauti na vipato tofauti.
Na pia mna maisha tofauti na ubongo tofauti.Hamuwezi mkawa na mtazamo mmoja wala fikra sawa sawa juu ya hili jambo.
Ni absurd mkiwa na jibu na msimamo mmoja.Kuna waafrica matajiri kuliko Wizkid lakini wanatofautiana naye katika hili swala.
Binadamu wanatofautiana.There is No universal answer to your question.
Nawasaidie japo mimi Ke.
Wewe unaweza kupenda wanawake wawili au zaidi kwa wakati mmoja? Na kwa usawa kabisa?It's possible.
kwanini unasema haiwezekani?
But,
Savage ni mtamu bwana tunatafuta nini?
Tafiti zingine kupoteza pesa tu mkuu.
Majibu yapo wazi.