Can you love one woman??

Can you love one woman??

Mimi sijawahi penda mwanamke yoyote hadi sasa au mimi ndo sijui maana ya kupenda. Kwani kupenda ni nini?? tujuzane
 
Hakuna anayependa watu wawili at the same time!

Ukweli ni kwamba hata kama utaoa wake kumi, siku zote yupo mmoja umpendae kuliko wote.

Upendo haugawanywi!!

I may date 2 or 3 gals per time lakini yupo mmoja kati yao anabaki kuwa mpenzi wa nafsi yangu.

Refer kwa Mfalme Suleiman.
Ila kuna wanaume wanajiamini...

Unajua Tiwa ni mtamu saana...ila Wizkid haoni shida kuyatamka haya.
 
Mmoja tu anatosha,cha msingi heshima,maelewano na kujariana basi, ila kuwa na branches ni kuongeza conflicts na unaweza usienjoy na hiyo ndoa yako cos muda mwingi unakuwa macho juu juu tu,Simu password kila sehemu
Hongera mkuu.
 
Kupenda kuko kwa aina nyingi. My Mama ni Woman na ninampenda. Niko na watoto wakubwa wa kike nao nawapenda pia. But kama kimapenzi ndio love yenyewe uliomaanisha jibu ni yes, I can Love Only One Woman, that is my Wife.

But hii haizuii kugegeda wanawake wengine, havina uhusiano kabisa. Naweza kuchepuka still nikawa nampenda Wife wangu. Kumgegeda Only wife is possible if only Dunia nzima yuko yeye mwanamke mmoja pekee.
Wakali wa mambo wanasema ukiwa na mchepuko basi haumpendi mkeo mkuu.

Sasa unampendaje kama unamtafutia viwiko pembeni?
 
Kama ataweza timiza haja zote (game kila inapohitajika) YES. Tofauti na hapo NO.
Kwa hiyo wewe unapenda game haunpendi mwanamke?
 
In what contex.
Kumpenda kama mke?
Maana maishani mwako wapo mama,shangazi,dada,mke,watoto wa kike nk wote ni wanawake na huwezi kuniambia huwapendi.
Huyu mwalimu wako ama ni mpuuzi au ni mzee wa mila au dini au utamaduni wa kabila lake unatuhusu.
Pointi ipo clear imenyooka.

Unaweza kumpenda mwanamke[kimapenzi] mmoja maishani?

Jamaa anadai wanaume wa kiafrika hatujaumbiwa kumpenda mwanamke mmoja.
 
Hakuna mwanaume wa mwanamke mmoja, ukiona mwanaume ana mwanamke mmoja pekee ujue mgonjwa au uchumi unakataa lakini akizipata ndo utamtambua vizuri.Narudia tena hakuna mwanaume wa mwanamke mmoja
Kwa hiyo hawa mabilionea tunaowasikia na kuwaona wote wana wake wengi !

Naanza kuelewa somo.
 
Back
Top Bottom