Can you love one woman??

Can you love one woman??

Dhana yangu ipo hapo kwenye maneno yaliyotumika. ndio maana nimesema iwekwe wazi kwamba mwanaume wa kiafrika ni Malaya. kitu ambacho sio kweli hata kama wengi wapo hivyo. Narudia tena kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtu haimaanishi upendo.

Kwangu ndio, inawezekana.
Inaonekana hatujaelewana mzee baba.

Hatuongelei "kupenda"

Bali naongela kuwa katika mahusiano. Lakini tunaamini unapokuwa katika mahusiano na mtu basi umempenda-ndipo nikatumia neno kupenda.

Hii ni suala ambalo wizkid sio wa kwanza kulitaja, lipo linasemwa na linadhihirika saana.

Sasa.
Je ni kweli wanaume wa kiafrika hatujaumbiwa kuwa na mwanamke mmoja?

Kwako nimekuelewa unasema ni maamuzi ya mtu. Au sio!
 
Why is everybody so serious?
That you can't even have a good time...

Manzi mmoja kwa wazazi ila mtaan na kwenye simu wapo kibao

Therefore, Wizkid is damn right?
 
Why is everybody so serious?
That you can't even have a good time...

Manzi mmoja kwa wazazi ila mtaan na kwenye simu wapo kibao
But,

Savage ni mtamu bwana tunatafuta nini?
 
Inaonekana hatujaelewana mzee baba.

Hatuongelei "kupenda"

Bali naongela kuwa katika mahusiano. Lakini tunaamini unapokuwa katika mahusiano na mtu basi umempenda-ndipo nikatumia neno kupenda.

Hii ni suala ambalo wizkid sio wa kwanza kulitaja, lipo linasemwa na linadhihirika saana.

Sasa.
Je ni kweli wanaume wa kiafrika hatujaumbiwa kuwa na mwanamke mmoja?

Kwako nimekuelewa unasema ni maamuzi ya mtu. Au sio!

Kama tunakubaliana kwanza kutenganisha upendo na uzinzi sina tatizo. Mtu mmoja au maneno yasiyo na utafititi wa kutosha yasitumike kufikia hitimisho kwa wanaume wa kiafrika.
 
Back
Top Bottom