Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,286
- 18,548
Ndiyo. Tukipelekwa mimi na yeye tu tukaishi mars. Nitampenda yeye peke yake.
Mother confessor, I love you so much mama, uko peke yako!
au umeelewa shemela
Sijaelewa chochote..nafuatilia comments ili nione kama nitaambulia chochoteau umeelewa shemela
Wewe si baba yako amekufukuza kisa anataka ulipe kodi ya elfu 50 kwa mwezi... Ukasema bora ujiue....Ukimuona mwanaume anampenda mwanamke mmoja juwa aidha hana pesa au hana nguvu za kiume
basi tuweke kambi hapa kama utapata kitu nitagSijaelewa chochote..nafuatilia comments ili nione kama nitaambulia chochote
Sawa Shem usijalibasi tuweke kambi hapa kama utapata kitu nitag
kakutana na wabongo tumempa shombo la kutoshaWewe si baba yako amekufukuza kisa anataka ulipe kodi ya elfu 50 kwa mwezi... Ukasema bora ujiue....
Sasa wewe bhana... dah!My pure African man have me but he had other women too to make life goes on.
I love him the way he is... si kuwa sina wivu nao ila ndo uhalisia.... akija kwangu nampa mahaba yote.
K' Matata.
Mambo?Na Huo ndo ukweli kwa jinsia yetu, ngoja waje tuwasome.
Nakusalimia tu baaaasi....Kila kitu kinawezekana kama mkiamua
Kila kitu ni kupanga na kupanga ni kuchagua
Hakuna linaloshindikana chini ya jua
babu shikamooNakusalimia tu baaaasi....