Can you love one woman??

Can you love one woman??

Mimi sijawahi penda mwanamke yoyote hadi sasa au mimi ndo sijui maana ya kupenda. Kwani kupenda ni nini?? tujuzane
Unaweza kuwa na mwanamke mmoja ukadumu nae bila kuwa na wa pili au tatu.


-Huyu jamaa yeye anadai hawezi kuwa na mwanamke mmoja.
 
Kwa hiyo kila binadamu kafungwa kumpenda mmoja tu mzee baba?

Topic ya kupenda pana sana swahiba. Unaweza kuwapenda wanawake wengi tu na usifanye nao chochote.
Suala la kuamua kuhusiana na watu wengi ni maamuzi tu. Kuna kumpenda mtu, kuvutiwa nae, kumtamani n.k maamuzi bado yanabaki kwako uchukue hatua gani.

Mie nimejibu kwa mujib wa kichwa cha habari. Badala ya kusema mwanaume hawezi kupenda mwanamke mmoja, ungesema hawezi kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja. Kumpenda mtu hailazimishi kuwa na mahusiano ya ziada.

Kila siku nasema unapoamua kuoa, sio kwamba mke wako ni mzuri kuliko wengine hapana, umeamua tu na mmekubaliana kwamba mtaishi pamoja, haimaanishi hautaona wanawake wengine wazuri kuliko mkeo, watakuwepo, wengi tu!

Lakini unaamua kuchukua hatua gani kutokana na hiyo hali ni maamuzi ya kila mmoja na yanatofautiana.
 
Topic ya kupenda pana sana swahiba. Unaweza kuwapenda wanawake wengi tu na usifanye nao chochote.
Suala la kuamua kuhusiana na watu wengi ni maamuzi tu. Kuna kumpenda mtu, kuvutiwa nae, kumtamani n.k maamuzi bado yanabaki kwako uchukue hatua gani.

Mie nimejibu kwa mujib wa kichwa cha habari. Badala ya kusema mwanaume hawezi kupenda mwanamke mmoja, ungesema hawezi kuwa na mahusiano na mwanamke mmoja. Kumpenda mtu hailazimishi kuwa na mahusiano ya ziada.

Kila siku nasema unapoamua kuoa, sio kwamba mke wako ni mzuri kuliko wengine hapana, umeamua tu na mmekubaliana kwamba mtaishi pamoja, haimaanishi hautaona wanawake wengine wazuri kuliko mkeo, watakuwepo, wengi tu!

Lakini unaamua kuchukua hatua gani kutokana na hiyo hali ni maamuzi ya kila mmoja na yanatofautiana.
Oouh sawa sawa...

Nilijua umemsoma Wizkid..

Yeye anasema wanaume wa kiafrika hatujaumbiwa kuwa/kumpenda mwanamke mmoja.

Yeye kwake hawezi kuwa/kumpenda mwanamke mmoja.

Je, kwako wewe unamuunga mkono ndivyo tulivyo au ni yeye tu ndiye yuko hivyo?
 
Mume wa ndoa nitakubali aongeze wake kwa nafasi zilizobakia kuliko azini bora awaoe tu
Kila kitu hakiwezekani.... Sio kila kitu kinawezekana.


Vipi wewe utakubali kama wanavyokubali wachuchu wa Wizkid?
 
Oouh sawa sawa...

Nilijua umemsoma Wizkid..

Yeye anasema wanaume wa kiafrika hatujaumbiwa kuwa/kumpenda mwanamke mmoja.

Yeye kwake hawezi kuwa/kumpenda mwanamke mmoja.

Je, kwako wewe unamuunga mkono ndivyo tulivyo au ni yeye tu ndiye yuko hivyo?

Dhana yangu ipo hapo kwenye maneno yaliyotumika. ndio maana nimesema iwekwe wazi kwamba mwanaume wa kiafrika ni Malaya. kitu ambacho sio kweli hata kama wengi wapo hivyo. Narudia tena kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtu haimaanishi upendo.

Kwangu ndio, inawezekana.
 
Pia tujua wapo watu wenye pepo la ngono. Hawaambiliki.
Unaweza kuwa na mwanamke mmoja ukadumu nae bila kuwa na wa pili au tatu.


-Huyu jamaa yeye anadai hawezi kuwa na mwanamke mmoja.
 
Why is everybody so serious?
That you can't even have a good time...

Manzi mmoja kwa wazazi ila mtaan na kwenye simu wapo kibao
 
Back
Top Bottom