Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Okay, kidogo nianze kilio .....!Sorry konakali nimekosea kwa kuanza mama pekee nilitakiwa kusema huyu mama ..ni jirani tu
Lazima Mungu akuongoze ili haya yawezekane......!kwani unamsamehe wakati jamaa likiwa bado juu linagugumia, acha roho ngumu ,mbona tunaoa wanawake waliokwisha zaa tayari au walioachika, c nao midume ilikuwa inagugumia, ukiweka akili ya kusahau yaliyopita na kuganga yajayo mambo yote yanawezekena,
Tambueni wanaJF adhabu iliyokali kuliko zote ni upendo kwa aliyekukosea, waswahili wanasema ADUI MPENDE.........................................