FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
- Thread starter
- #61
Duh!!!!!Mama mkwe nilitegemea kwa vyovyote vile lazima angezinduka angesema maneno kama hayo sababu hapo alipo ni ana hasira mbaya sana yaani sipati picha jambo kama alijakutokea wala usiseme chochote kile vinginevyo likikutokea u never know what will happen or what decision you might take........
Mkwe sitegemi haya kutokea kwa mwanangu ati ..ni magumu sana kuyatatua