Hivi kwani hawana watu wengine View attachment 2723567
Taja kidogo tujifunze hii jeiefuCamouflage na informers wapo wengi sana...
Haswa wengine utawakuta maeneo ambayo kwa hali ya kawaida mtu hawezi kuthubutu kuweka bishara ya kuuza vipipi na karanga eneo hilo...
Ningeyataja hayo maneno ila wacha niake kimya...
Cc: mahondaw
Wanalisubiri sehem fulan wakuvalishe guniaUko sahihi sana watu wengi hata hapa nchini kwetu wamepotea kwasabu ya kutokuwa makini, ni wapi azungumze nini, na wapi asizungumze. Dunia hii ni kuwa defensive all da time.
UmenenaUfafanuzi ni kwamba nchini Marekani na nchi nyingine zilizoendelea ndiyo wanaofata vizuri kanuni za kuajiri watu wa kitengo,yani ni wale tu wenye IQ kubwa na si vinginevyo.Na ndiyo maana hata ukiwa bar nchini Marekani huwezi kusikia mtu akijisifia kuwa yeye yupo kitengo.Ushahidi ni huu ufuatao;
Marekani hao watu wa kitengo wapo wengine wanaoshughulikia ujasusi wa kiuchumi,yani wanaenda nchi nyingine kwa lengo la kuchunguza namna ya kufanya ili nchi yao ipate uchumi mkubwa kwakupitia nchi nyingine.
Wakati viinchi maskini vimejikita ktk ujasusi wa kidola tu,huku uchumi ukiachwa pembeni,na ndiyo maana mikataba ya kijinga inasainiwa.Ikumbukwe watu wote wenye IQ kubwa hufikiri kwa kutumia ubongo na siyo tumbo.
Hakuna Siri ktk dunia hii, yote mnayofanya gizani yanaonekana na yanajulikanaUmefanya kosa sana kuleta vitu kama hivi humu uwe una meza mate kidogo sio vyote vya kusema humu